Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mwalimu wa nguvu sana fan namba 1 wa Nunez ,anaitwa Saint AnneHebu nitajie mwalimu wako
Amabakisha vitu vidogo sana kukufundisha
YNWA
Mwalimu wa nguvu sana fan namba 1 wa Nunez ,anaitwa Saint AnneHebu nitajie mwalimu wako
Amabakisha vitu vidogo sana kukufundisha
🤣🤣🤣🤣tazama ule unywele wake akiuachia anakua aje vile.....We ushindwee
Weupe wa Nunez mbaya
We ushindwee😆
Ushawahi ona hata siku moja nachagua mweusi?
Au unadhani kina Ibrahima siwaoni!?😆😅😅
Nachagua mweupe angalau tu balance rangi ya mtoto maana mimi mweusi.
Sio suala la umri mkuu.Hao wachezaji kwa kipindi walichokaa hawajaweza kufikia ule ubora ambao pengine tulitegemeaNdio Legend waodoke tu wakiwa katika umri huu wa kuuzika angalau kwa faida ili hio pesa inunue wachezaji angalau watatu ....
YNWA
Kataupiga mrefu.View attachment 3338149
Muangalie huyu dogo kama Sadio Mane ingawa yeye ni back right
Saint Anne Captain Marvelous
The MoNA unamuelezea huyu dogo
Akiuachia ni Hendo mtupu🤣🤣🤣🤣tazama ule unywele wake akiuachia anakua aje vile.....
YNWA
Kwahiyo mwalimu wako alisema uje ufanye mazoezi ya kiswahili kwa kumkera Saint Anne😂
Hii nimeipenda kwa kweli.....🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool approach Bournemouth to sign Milos Kerkez, talks underway 🇭🇺
Liverpool are now also completing the agreement on personal terms with Kerkez who’s keen on the move.
Negotiations underway between clubs on transfer fee as Liverpool want a left back after signing Frimpong.
He has that super aura that makes him special investment....
😁😁😁😁😁Miss Liverpool wa kipekeee.Kwahiyo mwalimu wako alisema uje ufanye mazoezi ya kiswahili kwa kumkera Saint Anne😂
Henderson ana balaa kaukosa Ubingwa Uholanzi dakika ya 99 yaaani Bora alisepa na nuksi zake hukooooAkiuachia ni Hendo mtupu
Well said mate....numbers don't lie.....Sio suala la umri mkuu.Hao wachezaji kwa kipindi walichokaa hawajaweza kufikia ule ubora ambao pengine tulitegemea
Jones ana misimu sita na Liverpool as an attacking midfielder.Ana goli 10 tu za premier league na assist 8!Misimu 6!!Huyu mchezaji ana mchango gani sasa hata angekuwa na umri wa miaka 20?
Diaz anacheza role ya Mane.Ana misimu minne na Liverpool.Amefunga goli 29 za ligi kwenye misimu yake minne.Misimu minne ya Mane alifunga goli 63 za ligi.Sasa unaweza kuona kuwa na mtu kama huyu tumerudi nyuma badala ya kwenda mbele.....
Hao wachezaji ni wa kawaida sana mkuu,achana na umri walio nao
siyo Robertson ndo anapewa mkono wa kwa her??Hii nimeipenda kwa kweli.....
Tsimikas aanze kusaka timu.
YNWA
Robertson ni club legend huwezi kumtoa kirahisi kama hivyo, alafu Tsimikas anauzika kirahisi compared to Robo so kwenye aspects hizo Tsimikas anafaa kuuzwa. Tsimikas ni wale wachezaji ambao wameshindwa kufikia expectation zao kiwango chake hakijakuwa tangia amechukulia hadi leo yupo vile vileHii nimeipenda kwa kweli.....
Tsimikas aanze kusaka timu.
YNWA
Wote wawili waondoke tu tena huyo Tsimikas ndio sionagi hata potential yakesiyo Robertson ndo anapewa mkono wa kwa her??
mm tsimikas naona ni backup nzuri tu akikaa bench hakuna shida