Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Hujakatazwa kutoa ya kwako bila kubughudhi ya wengineHayo ni maoni au kukosa akili
Hujakatazwa kutoa ya kwako bila kubughudhi ya wengineHayo ni maoni au kukosa akili
Huko ni kukosa akili sio kutoa maoni jitu linataka Salah acheze msimu mzima Kwa uwezo huo huo yaani utafikri Salah ni roboti jitu kama hilo linaakili timamuHujakatazwa kutoa ya kwako bila kubughudhi ya wengine
Una Id nyingi ila muandiko wako haubadiliki ile id ya yako ya Willy paul uliiunguza.Huko ni kukosa akili sio kutoa maoni jitu linataka Salah acheze msimu mzima Kwa uwezo huo huo yaani utafikri Salah ni roboti jitu kama hilo linaakili timamu
ata vichaa wanawaona wenye akili ndo vichaa...unaweza tofautiana na mtu kwa lugha ya staa.Huko ni kukosa akili sio kutoa maoni jitu linataka Salah acheze msimu mzima Kwa uwezo huo huo yaani utafikri Salah ni roboti jitu kama hilo linaakili timamu
ata vichaa wanawaona wenye akili ndo vichaa...unaweza tofautiana na mtu kwa lugha ya staa.
Una Id nyingi ila muandiko wako haubadiliki ile id ya yako ya Willy paul uliiunguza.
JIfunze kuwa unakosoa kwa staha pia, hili jukwaa huru mitazama lazima iwe mingi
Hujakatazwa kutoa ya kwako bila kubughudhi ya wengine
Huko ni kukosa akili sio kutoa maoni jitu linataka Salah acheze msimu mzima Kwa uwezo huo huo yaani utafikri Salah ni roboti jitu kama hilo linaakili timamu
Inasikitisha sanaHuwa inashangaza sana hata jukwaa la michezo tena jukwaa lenyewe sio la Simba na Yanga bado mtu anakuwa na maneno ya siyo kuwa na staha. Huyo mimi nilisha ignore tayari.
Yeye ni kocha tuu
Kuna vitu havikuu kaa sawa kati ya klopp na ma boss wakeDah! Sasa kama Klopp ambaye alikuwa ni Manager wa Liverpool cheo kinachompa mamlaka ya kuingia kwenye kufanya maamuzi ya Timu alikuwa anakabiwa juu kwenye usajili, Je huyu Slot ambaye hakupewa umeneja bali kaachiwa ukocha pekee si atashindwa kabisa hata kuongea chochote kwenye usajili?
Lakini najua hajapewa umeneja kwasababu alikuwa hana jina.
Atengenze jina zaidi msimu ujao nasi ataongezewa Mkataba ambao atalazimisha apewe umeneja wa Timu.
Tungepigwa