Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Nyuma kombe lipo wapi la maana?Kwani wapi nimesema liva kachukua sababu wengine wabovu?
Mimi nimekuja kukanusha mlipochomekea kuwa hata man city kachukua sababu wengine wabovu, wewe ndiye huelewi nilichoandika.
Nyie komaeni na ma HB sisi tunaleta vyuma vya kazi.
MaHB na wameshatuletea kombe la maana
Wewe ndiye uliingiza man city sehemu ambayo si ya kuiingiza ili mradi uonekane tu umebishaa kwenye point ya Liverpool kuwa bora kwa sababu katangulia mbele kwa points nyingi sana mwaka huu.
Tofauti na Miaka ya nyuma ambapo mshindi wa kwanza na wa pili walipishana kwa points 2,1
All in all timu bora ni ile inayochukua ubingwa.
Hizo nyingine za ooh Mpira mzuri ni ni blah blah