Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,573
- 1,389
Nimehaha vipi?Mkimbizi unahaha baada ya kugundua timu uliyokimbilia inahemea mipira hata nafasi ya ushiriki UEFA Iko matatani
Nimehaha vipi?Mkimbizi unahaha baada ya kugundua timu uliyokimbilia inahemea mipira hata nafasi ya ushiriki UEFA Iko matatani
Kila mda upo humu vipi man city hawana uzi jibu ni kwamba kumedodaNimehaha vipi?
😂😂 Introv bwana.Kila mda upo humu vipi man city hawana uzi jibu ni kwamba kumedoda
Mtoto wangu huyoKaka yako The MoNA yuko wapi?
😂😂😂😂😂😂 Ndio Mkuu ni Captain wa kwanza asiye kua Muingereza kuongoza Liverpool kuchukua Ubingwa wa EPL.....sijasema ni Captain wa kwanza kuchukua EPL akiwa sio Muingereza kwa klabu zote ndugu...😂😂
Captain Marvelous ananiambia Van Dijk kawa Captain wa kwanza asiye mwingereza kuchukua taji la EPL wakati A Belgian defender, Vincent kompany alifanya hivyo way back in 2012.
Wewe Cap, kwanini unatulisha matangopori 😂😂
Historia inaonyesha makocha viherehere wanaoshinda ligi kwenye misimu yao ya kwanza hua hawana maisha marefu pale uingereza.
Mourinho
Ancelotti
Pellegrini
Conte
Greatest managers pale uingereza ni wazee wa slow but sure.
Ferggie
Pep
Wenger
Bill Shankly
Bob Paisley
George Ramsey
Kenny Daglish
Haya tukutane msimu ujao.
Cc Henderson, Milner.Mbappe ameenda Real Madrid kubeba Champion League na Ballon d'Or lakini amekosa vyote.
Usikute huu msimu alioondoka ndiyo PSG inabeba Champion League lazima watu waseme yeye ndiye alikuwa nuksi pale PSG