Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Taarifa njema sana Leo VVD ameongeza miaka miwili kuichezea klabu yake pendwa Liverpool mpaka 2027.
Salah na VVD wamekumbali kwamba Slot anafaa kuongoza usukani. Kusaini kwao nyongeza kuna faida nyingi sana kwani kunawapa FSG muda mwafaka wa kusaini understudy mapema na gradually waingie kwa mfumo.
Trent yupo kama hayupo agent Bellingham kashafanya yake.
Next Konate asaini nyongeza baadae ya hapo wajikite kusaini mapema beki LB na RB aafu ndio namba zingine zitazamwe.
🔥🔥 Next year contenders here we are...

YNWA
 
Hizi habari za KDB Kuja Liverpool mbona kama ni nzuri,japo ana miaka 33 naimani atatusaidia,maana nakumbuka Pirlo alisajiliwa na umri mkubwa Bado akiweza kuwa mchezaj Bora misimu 3, hvyo KDB atasaidiana na Szobozlai
 
Hizi habari za KDB Kuja Liverpool mbona kama ni nzuri,japo ana miaka 33 naimani atatusaidia,maana nakumbuka Pirlo alisajiliwa na umri mkubwa Bado akiweza kuwa mchezaj Bora misimu 3, hvyo KDB atasaidiana na Szobozlai
Umri+ mshahara wa KDB sio aina za usajili za Liverpool
 
Go1WhtJWIAAYMne.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom