Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mo Salah, closing in on new contract at Liverpool with deal 𝐚𝐥𝐦𝐨𝐬𝐭 𝐝𝐨𝐧𝐞 ❤️🇪🇬

Negotiations are at final stages with Salah expected to put pen to paper and sign new his contract very soon.

Liverpool are confident to keep both Mo and van Dijk, while Alexander-Arnold’s close to joining Real Madrid.
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mo Salah, closing in on new contract at Liverpool with deal 𝐚𝐥𝐦𝐨𝐬𝐭 𝐝𝐨𝐧𝐞

Negotiations are at final stages with Salah expected to put pen to paper and sign new his contract very soon.

Liverpool are confident to keep both Mo and van Dijk, while Alexander-Arnold’s close to joining Real Madrid.
Duh wazungu wameachia
 
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mo Salah, closing in on new contract at Liverpool with deal 𝐚𝐥𝐦𝐨𝐬𝐭 𝐝𝐨𝐧𝐞 ❤️🇪🇬

Negotiations are at final stages with Salah expected to put pen to paper and sign new his contract very soon.

Liverpool are confident to keep both Mo and van Dijk, while Alexander-Arnold’s close to joining Real Madrid.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥At least imekaa sawa ili kuwe na smooth transition with new recruits kwenye nafasi zao...
Salah na VVD wanatupa zaidi ya gemu 40 Kila msimu hivyo sio jambo jepesi sana kwa mfumo wa klabu kutowapa mkataba huku tukiwa hatuna plan B ya hapo kwa hapo.
Good move by FSG. Next is to buy their heir June 2025 ili mapema sana waanze kuridhi mazuri ya Hawa legend wawili...
VVD kupewa mkataba mpya kuniashiria uwekezaji itakua kwa LB na RB dirisha lijalo pale nyuma.
Mbele sell Diaz na Nunez and re invest hio ela front line this time kocha asikilize data guys wanatoa ushauri gani..

YNWA
 
Salah na VVD nadhani muda wao umepita,waondoke
TAA bado kijana sana,abaki
Haya ni mawazo yangu huru
Hao malegend ni lazima waondoke tukiwa na watu wa kuziba nafasi zao tayari, yasije kujirudia yale ya Torres na Andy Carrol😄

Kuhusu TAA hakuna namna dogo anatembea
 
Hao malegend ni lazima waondoke tukiwa na watu wa kuziba nafasi zao tayari, yasije kujirudia yale ya Torres na Andy Carrol😄

Kuhusu TAA hakuna namna dogo anatembea
Asepe tu kwani yeye nani pale Liverpool wamepita watu kibao
 
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mo Salah, closing in on new contract at Liverpool with deal 𝐚𝐥𝐦𝐨𝐬𝐭 𝐝𝐨𝐧𝐞 ❤️🇪🇬

Negotiations are at final stages with Salah expected to put pen to paper and sign new his contract very soon.

Liverpool are confident to keep both Mo and van Dijk, while Alexander-Arnold’s close to joining Real Madrid.
Mambo haya yalitakiwa yafanyika kabla hata January mnasubir mmepoteza vikombe.?
 
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Mo Salah, closing in on new contract at Liverpool with deal 𝐚𝐥𝐦𝐨𝐬𝐭 𝐝𝐨𝐧𝐞 ❤️🇪🇬

Negotiations are at final stages with Salah expected to put pen to paper and sign new his contract very soon.

Liverpool are confident to keep both Mo and van Dijk, while Alexander-Arnold’s close to joining Real Madrid.
Mambo haya yalitakiwa yafanyika kabla hata January mnasubir mmepoteza vikombe.? Na huyu Salah msimu huu kwake ndio mwisho baada ya hapo atakuwa hana tofauti na sterling
 
20250411_100423.jpg
 
Salah amefanya jambo jema baada ya sintofahamu ya miezi kadhaa hatimae amejifunga..bado Captain wetu fantastic nae ajifunge tusikasirike liverpool fans hakuna safari isiyo na wazee hao wawili wanatosha Robertson atafutiwe pa kwenfa au awe mshauri wa slot...
 
Salah amefanya jambo jema baada ya sintofahamu ya miezi kadhaa hatimae amejifunga..bado Captain wetu fantastic nae ajifunge tusikasirike liverpool fans hakuna safari isiyo na wazee hao wawili wanatosha Robertson atafutiwe pa kwenfa au awe mshauri wa slot...
Huyo Salah Naye kaongeza miaka mingapi aisee maana isijekua minne huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom