Sawa tukutane msimu ujao.Arsenal hata timu zote ziwe mbovu habebi ubingwa
Hamna kitu hapo nyie wachovuKwani Fulham unawachukuliaje mkuu🤔
Jamaa unapenda kulalamika kweli, wewe, hivi kuna mchezaji mwenye jema kwako?Tumerudi kulekule kwenye Favouritism ya Klopp
Yamekuwa hayo!!!Jitu kama hili bado linacheza week baada ya week ni upumbavu wa kocha.View attachment 3294947
Top Legend.....Jitu kama hili bado linacheza week baada ya week ni upumbavu wa kocha.View attachment 3294947
👍👍🏻 Champions elect tupo hapa....
- Tumefungwa magoli 3 ndani ya dakika 15 tu.
- Katika michezo miwili dhidi ya Fulham Home & Away tumepata point 1 tu.
Hata hivyo sisi ni mabingwa wa msimu huu
Soon lile kombe la EPL linawekwa ribbons 🎀 nyekundu kuashiria bingwa msimu wa 2024 2025 ni the Red Army......Sisi Arsenal sijui tuna gundu gani asee, tukiwa kwenye ubora tunafukuzana na Man City, tukipoteana kidogo tunakutana na mchovu Liverpool.
Mbona huu haujaisha mzee, komaeni na huu kwanzaSawa tukutane msimu ujao.
Wachovu wanaongoza ligi? Maajabu hayaHamna kitu hapo nyie wachovu
Msimu ujayo , najiona tutakuwa tunapambania top four, kama tutakosa DM, LB, CBSoon lile kombe la EPL linawekwa ribbons 🎀 nyekundu kuashiria bingwa msimu wa 2024 2025 ni the Red Army......
Wengine mkae tu kwa kusema ingekua vipi ingekua vipi...biashara tayari hapa...
It's coming home 20th ...it's sweet angalau this time mashabiki watakuwepo kwenye sherehe kama zote.
YNWA