kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Miwili!Huyo Salah Naye kaongeza miaka mingapi aisee maana isijekua minne huko
Miwili!Huyo Salah Naye kaongeza miaka mingapi aisee maana isijekua minne huko
Basi hapo safi halafu vipi uwanja hamna hata tetesi za kuuweka kisasa kama evertonMiwili!
Tuendelee kula burudani...Basi hapo safi
Vipi kuhusu uwanja mkuu hamna hata tetesi za kuuweka kisasa maana upo kizamani sana wenzetu Everton wamejenga uwanja mkali sanaTuendelee kula burudani...
Uwanja wetu kama nyumba ya jongoo mkuu unaongezwa ndani kwa ndani baada ya anfield kuongezwa majukwaa hakuna hizo tetesi nafikiri hata plan waliua!Vipi kuhusu uwanja mkuu hamna hata tetesi za kuuweka kisasa maana upo kizamani sana wenzetu Everton wamejenga uwanja mkali sana
Daah nyumbu nao wanatengeneza uwanja mkali kiukwrli licha ya matokeo miundombinu inatakiwa iwe mizuri aiseeUwanja wetu kama nyumba ya jongoo mkuu unaongezwa ndani kwa ndani baada ya anfield kuongezwa majukwaa hakuna hizo tetesi nafikiri hata plan waliua!
Ni kweli kabisa unaongeza mapato kwa kuingiza watu wengi na pia watu kufanya kama utalii wacha tuone mbeleni matajiri wamerukia kununua timu huko spain..Daah nyumbu nao wanatengeneza uwanja mkali kiukwrli licha ya matokeo miundombinu inatakiwa iwe mizuri aisee
Unamaanisha matajiri wetu wamenunua timu spainNi kweli kabisa unaongeza mapato kwa kuingiza watu wengi na pia watu kufanya kama utalii wacha tuone mbeleni matajiri wamerukia kununua timu huko spain..
Walikuwa kwenye mchakato inawezekana ukakamilika!Unamaanisha matajiri wetu wamenunua timu spain
SawaWalikuwa kwenye mchakato inawezekana ukakamilika!
KafanyajeHv huyu agent wa Ryan Gravenberch's mnamuelewa kweli? 😂
Acha kujisahaulisha kwamba tangu asajiliwe Anfield, haters mnamuita OSW(One Season Wonder)?Mambo haya yalitakiwa yafanyika kabla hata January mnasubir mmepoteza vikombe.? Na huyu Salah msimu huu kwake ndio mwisho baada ya hapo atakuwa hana tofauti na sterling
Unateseka ukiwa wapi kaka Arse8 makombeless FC 😂😂😂Mambo haya yalitakiwa yafanyika kabla hata January mnasubir mmepoteza vikombe.? Na huyu Salah msimu huu kwake ndio mwisho baada ya hapo atakuwa hana tofauti na sterling
Kweli umemchoka mdogo wako🔥🔥🔥🔥🔥🔥At least imekaa sawa ili kuwe na smooth transition with new recruits kwenye nafasi zao...
Salah na VVD wanatupa zaidi ya gemu 40 Kila msimu hivyo sio jambo jepesi sana kwa mfumo wa klabu kutowapa mkataba huku tukiwa hatuna plan B ya hapo kwa hapo.
Good move by FSG. Next is to buy their heir June 2025 ili mapema sana waanze kuridhi mazuri ya Hawa legend wawili...
VVD kupewa mkataba mpya kuniashiria uwekezaji itakua kwa LB na RB dirisha lijalo pale nyuma.
Mbele sell Diaz na Nunez and re invest hio ela front line this time kocha asikilize data guys wanatoa ushauri gani..
YNWA