Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

FSG wanaweza wakawa wabahili ila they can't go to that extent ya kumchezesha jones kama replacement ya TAA

Ni sawa na kumchezesha endo Centre back for long bado hakuna kocha anaweza kukubali huo ujinga
MR BINGO kwema ndugu.... Ikija ishu ya kusajili Hawa FSG hua hawasomeki kabisa...ngoja tuone maana ma RBs wanaotajwa bei zinaanza 30m paudi kwenda juu ....
Kocha wa sasa sio meneja kama alivyokua Klopp hivyo anaweza akawa bypassed na matukio ya usajili...the good thing Liverpool muda mwingi hutegemea data kwenye kusajili na hua option zaidi ya 3 kwenye nafasi moja na input za kocha hua zipo kuhusu hao wachezaji so let's wait.

YNWA
 
Wanangu si tumdandie KDB
Aafu family yake ni Liverpool fans tangu kitambo 🥰🥰🥰huyu aje tu Liverpool haha....
Guy earns over 500k kwenye wiki unadhani FSG walivyowabishi wangeweza wapi kumlipa huo pesa
6 EPL titles, 1 UCL boy is a legend direct candidate wa hall of Fame.

YNWA
 
Screenshot_2025-04-04-21-13-34-46_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329~2.jpg

The save that killed Arsenal hopes of earning the bragging rights for EPL champions elect.

YNWA
 
DullyJr mbona Hali imekua Tete sana namna Gani. I thought Arteta alisema anautaka huu ubingwa kwa Hali na mali lakini matokeo yamekua the other way kabisa kwenu...
Ubishi na ubahiri wa Kroenke unawa cost kwa mara nyingine tena ubingwa wa EPL...
Mjipange tena next season tunawakaribisha kwenye hizi mbio.

YNWA
 
Mambo ni moto leo jioni tunaingia uwanjani ugenini dhidi ya fulham..wana tabia ya kutukazia ila Dua nyingi tu tupate ushindi mshindani wetu ameangusha pointi jana sisi hatuna budi kuzikusanya na kuziokota na kuzitia kibindoni kwetu...tucheze mechi zetu tusiangalie wengine..inshaAllah kabla ya mei mosi tuwe tumekwisha nyanyua makwapa....
YNWA.......
 
Nyie jamaa Mshukuru tu anayefuatana na nyie ni dhaifu..na kina man city Msimu huu wapo dhoofu ila mlikuwa na upepo tu😂😂😂
 
Nyie jamaa Mshukuru tu anayefuatana na nyie ni dhaifu..na kina man city Msimu huu wapo dhoofu ila mlikuwa na upepo tu😂😂😂
Hawa jamaa washukuru sana Mungu wao, Arsenal amekuwa akiandamwa na majeruhi ya mara kwa mara tena kwa wachezaji muhimu... vinginevyo yale ya 2018/2019 yangejirudia tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom