Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jioni ya leo majogoo wa jiji tupo dimbani kwetu Anfield tumerudi tena....tumekuja kuwashika..mpinzani wetu wa jadi tulio tofautiana pande ila mtaa mmoja...tusiwe wanyonge kuteleza si kuanguka asili ya wana You never walk alone si kukataa tamaa na kuogopa maneno ya wachawi wenye kujiona tupo sawa kumbe wamecheza fainal moja tu ya ulaya na wakaambulia patupu...Mungu ajalie tuchukue point 3 tuongeze gape la uongozi...mechi ni ngumu lakini inshaAllah tutashinda...
..................................YNWA..............
 
Hawa Everton walituletea dharau na kiburi kwenye last game hivyo leo tunapaswa kuwafunga kwa njia yoyote ile
Mkuu unakumbuka kuna kipindi Klopp alitupangia dogo Henderson beki RB?
Sasa na Leo Slot kaamua kutupa line up of the year if well he wins good luck kwake....RB Leo ameanza Jones 😁😁😁😁.
Tuna Endo and Graven ambao ni able RBs kuliko huyu dogo. Aidha tuna kocha mwenye ujasiri wa kutisha ama bado hajaachana na ndoto ya trebble.

We need luck Leo of all the days.

YNWA
 
Mkuu unakumbuka kuna kipindi Klopp alitupangia dogo Henderson beki RB?
Sasa na Leo Slot kaamua kutupa line up of the year if well he wins good luck kwake....RB Leo ameanza Jones 😁😁😁😁.
Tuna Endo and Graven ambao ni able RBs kuliko huyu dogo. Aidha tuna kocha mwenye ujasiri wa kutisha ama bado hajaachana na ndoto ya trebble.

We need luck Leo of all the days.

YNWA
😂😂😂
 
Mkuu unakumbuka kuna kipindi Klopp alitupangia dogo Henderson beki RB?
Sasa na Leo Slot kaamua kutupa line up of the year if well he wins good luck kwake....RB Leo ameanza Jones 😁😁😁😁.
Tuna Endo and Graven ambao ni able RBs kuliko huyu dogo. Aidha tuna kocha mwenye ujasiri wa kutisha ama bado hajaachana na ndoto ya trebble.

We need luck Leo of all the days.

YNWA
Slot proven good by Jones. Kama make-shift right back he was good both in possision and defending. Brilliant from him.
 
Trent huyoo Madrid!!!! Virgil na Mohamed hawaeleweki, pia age goo , konate possibility ya kwenda psg ni kubwa, Diaz ana ndoto za kucheza barca,,, ! Next season hakuna rangi mtaacha ona
Ndoto za abunuasi hizo,back up zote zipo.
 
Mkuu unakumbuka kuna kipindi Klopp alitupangia dogo Henderson beki RB?
Sasa na Leo Slot kaamua kutupa line up of the year if well he wins good luck kwake....RB Leo ameanza Jones 😁😁😁😁.
Tuna Endo and Graven ambao ni able RBs kuliko huyu dogo. Aidha tuna kocha mwenye ujasiri wa kutisha ama bado hajaachana na ndoto ya trebble.

We need luck Leo of all the days.

YNWA

Sasa hivi utasikia Amateurs wanasema Trent aondoke tu Jones yupo atacheza RB
 
Sasa hivi utasikia Amateurs wanasema Trent aondoke tu Jones yupo atacheza RB
😀😀😀Jones for RB yaaani hapa FSG washapata solution ujue kama ambavyo Graveb amecheza DM kwa mafanikio kiasi swala la kusajili tena DM sio priority ndio hivyo FSG watakomaa na Jones markshift RB yaaani we are so done......


YNWA
 
Msimu huu ukimaliza tusiposajili nitaumia kuliko msimu wowote ule niliwahi kuushuhudia nikiwa Liverpool.

Hapa naongelea since 1998 nilipoanza kuishabikia Liverpool rasmi
Last season walitengeza hasara usione wanapata cold feet kuongeza top earners VVD, Salah na Trent contract ni kwa sababu Hawa wachezaji wamesha outgrow mfumo wa ulipaji wa FSG wa wages ishu sio umri maana guys are delivering at the highest level... Salah anabebelezwa merchandise income iwe part of the contract just like huu mkataba unaoisha ...
FSG wao wapo kibiashara zaidi kuliko winning trophies that matter... Real Madrid kushinda last season UCL earned em around pound 130m hivi hapo achana na group earnings..that means ni mpira pesa aisee invest wisely and enjoy fully...
June is coming guys ni soko muhimu sana kwetu.


YNWA
 
😀😀😀Jones for RB yaaani hapa FSG washapata solution ujue kama ambavyo Graveb amecheza DM kwa mafanikio kiasi swala la kusajili tena DM sio priority ndio hivyo FSG watakomaa na Jones markshift RB yaaani we are so done......


YNWA
FSG wanaweza wakawa wabahili ila they can't go to that extent ya kumchezesha jones kama replacement ya TAA

Ni sawa na kumchezesha endo Centre back for long bado hakuna kocha anaweza kukubali huo ujinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom