Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,791
- 4,680
Take easy mkuu mi bdo naimani na Liverpool msimu huu, hakuna timu itakayo chukua ubingwa bila kufungwa, This is Liverpool.Nimejiskia Vibaya. Roho Imevuta
Take easy mkuu mi bdo naimani na Liverpool msimu huu, hakuna timu itakayo chukua ubingwa bila kufungwa, This is Liverpool.Nimejiskia Vibaya. Roho Imevuta
Yaani Nimejiskia Ovyo. Oooh God.Take easy mkuu mi bdo naimani na Liverpool msimu huu, hakuna timu itakayo chukua ubingwa bila kufungwa, This is Liverpool.
Why always us in red cards? Sisi wapinzani wetu hawapati red ni sisi tuu mechi ya tatu sasaFT
Spurs 2 - 1 Liverpool
Let's focus na next game
Haya kutokea kwenye mpira ni kitu cha kawaida.
Hakuna haja ya kumlaumu yeyote.
Acha kula ugoro, wachezaji saba gani hao walibaki?Timu imepambana sana aisee.... Totenham kwa wachezaji 10 kwenye pitch Liverpool wachezaji 7!! Aisee timu imepambana mno Kongole.
Tangu Ligi ianze wamuzi wamekua na matatzo sana Red Card mbili dah basi tu huyu Refa katuua leo
Kabisa lile Goal sio offside kunakitu kinaendelea hapaDiaz goal lilikuwa halali kabisa hakuna offside pale na hata first yellow card ya jota hakumgusa kabisa alianguka mwenyewe
Howard web uwa miyeyusho sana vs liverpool toka enzi za Ferguson linapokuja swala la Liverpool anakuwa mpuuzi sana
Dah nimeumia Sana kuruhusu Goli dakika Ka zileHii ndiyo Liverpool niipendayo. licha ya kushushwa nguvu kwa kukataliwa goal na red kadi ila imesimama imara....kujifunga ni bahati mbaya respectView attachment 2767867
Nateseka nikiwa nasherekea ushindi mnono wa majirani zangu spurs dhidi ya kuku kishingo .Loser
Unateseka ukiwa wapi,?
Ndio naingia kwenye kideo hivi,mechi yetu always inaanza 2nd half