Hii ni Red Card yetu ya 4 msimu huu.
Hatuna kawaida hii hivyo Klopp arudishe nidhamu kwenye Timu.
Leo ilikuwa ni mechi muhimu sana kwetu ya kupata matokeo hivyo Wachezaji hawakupaswa kufanya makosa ya kinidhamu kama haya.
Hata hivyo simlaumu Jones wala Jota kwasababu haya mambo ni kawaida kutokea mchezoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.