Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,427
- 11,150
Ni kweli bro lakini dah... Furaha yangu ilikua tukae pale juuFT
Spurs 2 - 1 Liverpool
Let's focus na next game
Haya kutokea kwenye mpira ni kitu cha kawaida.
Hakuna haja ya kumlaumu yeyote.
Ni kweli bro lakini dah... Furaha yangu ilikua tukae pale juuFT
Spurs 2 - 1 Liverpool
Let's focus na next game
Haya kutokea kwenye mpira ni kitu cha kawaida.
Hakuna haja ya kumlaumu yeyote.
Ingekuwa aibu sana kilaza kama Liverpool kuchukua alama London ,ni aibu .Asante Tottenham kwa kunipigia Liverpool![]()
Vile Matip Alivyoshika Kichwa Nilishika Nae na Wote tukainama. Sijui Kama Nilishawai jiskia ivyi kwenye Mpira Labda Kipindi Simba tunatolewa na Jwaneng.Dah nimeumia Sana kuruhusu Goli dakika Ka zile
Keyword: Tunge-Asee imeniuma sana dah. Sema nini , lets be optimistic . . Kama sio red hizi hakika leo tungekaa pale juu. Dah ni ngumu kufutika kichwani hii kumbukumbu ya leo.
Wanapewa red card ndio wanatumia nguvu kuliko akili ,acha ubadili uhaisiaHongereni liver. Pamoja na red cards zote mbili bado mmewabana tot. Tot wanatumiaga nguvu nyingi kuliko akili kwenye mpira
i second uLiverpool HALISI msichukie wkt wa Liverpool feki wanatukana team
Sisi HALISI tuzidi kuwa nyuma ya team
Mambo mazuri yanakuja