Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Gomez ameanza kurudi kwenye form yake ya 2018/2019.

Katikati bado hatujapata mtu wa kazi chafu kweli, SOBO na MACA hawawez kuhold ,, tupo exposed sana safu yetu ya ulinzi

Ni fikiri Klopp has to find a good system defensively. Hamuamini Endo na hakukua na haja ya kumsajili Endo na haumchezeshi wakati timu yako inahitaji DM ukamnunua DM kwa ajili hiyo.
 

Msimu huu ameshafanya makosa mawili yaliyozaa magoli. I don know why Klopp anajaribu sana kubishana na ukweli
 
Wapo London Stadium...

YNWA
hilo dimba lilitunyima ubwingwa wa EPL 2018/2019.
WHU walishinda goal 1 first half ilikuwa set peace ikapigwa kihuni washenzi wakashikilia bomba mpk mwisho.
Isitoshe EVERTON na wale wazee wa king power (Leicister) nao walichukua point moja moja kwetu . Kipara akachukua kombe kwa difference ya point 1.

Ule msimu ulikuwa wa machungu sana tuliandamwa na draw za kutosha , machungu ya lipozwa na UCL.
 
Against City au Brighton tutajua vzr madhaifu yetu.

January window we must do something for the survival,, Tupate uhakika wa EUROPA.

Bado hatujapata rhythm nzuri atleast we have MONSTER MENTALITY.

Tatu tunatanguliwa na tunakuja kuchomoa na kushinda CONVINCINGLY. Kati ya mechi hizo 2 tulikuwa pungufu.

We are catching the momentum as time goes…
 
Surprising thing huu msimu , hatuchezi kwa pressure, ni kama wachezaji wanamentality kuwa hata kama tuko nyuma kwa goli still the game is ours.

Klopp anakuambia β€œingawa nipo hapa mwaka wa nane, lakini huu ndio mwaka wa kwanza” WHAT DO YOU EXPECT ?

Napenda hii mentality tuliyonayo kwa sasa
 
Hivi ndio msimu huu tulikwenda Manchester United Ole Trafford wakiwa na majeruhi wa kutosha aafu Klopp akapanga kikosi cha sare?

YNWA
 

Klopp need to find a good way for players to get game time.
Doak,Bajcetic, Quansah

Its a long marathon.
2nd Klopp need to find a good way defend with double pivot and give Macca his 8 role and he can fire
 

Nunez mpaka muda wa conference hakuwa ametua.
 
Klopp need to find a good way for players to get game time.
Doak,Bajcetic, Quansah

Its a long marathon.
2nd Klopp need to find a good way defend with double pivot and give Macca his 8 role and he can fire
Definitely mapema sanaa aisee kuna mechi za kutosha hawa senior players watahitaji kulindwa sana kutopata majeruhi ya muda mrefu na njia pekee ni ku incorporate hawa junior players kikosini mapema ili kujenga ari ya ushindi...

YNWA
 
Yah nakumbuka nyumbu walipata Red card Klopp asivyo na Aibu akasingizia ile Red card imetutoa mchezoni as if tuliipata sisi
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Ule msimu Klopp alikua na visingizio kama vyote mara upepo, mara barafu, mara muda wa mechi, mara kadi nk nk...bottom line hakuna risk taker kwa baadhi ya mechi kwenda full throttle...

I suppose Kompany aliwapiga Leicester goli moja matata sana full nondo top corner na ilitosha kuwapa ubingwa nsimu ule

YNWA
 
Definitely mapema sanaa aisee kuna mechi za kutosha hawa senior players watahitaji kulindwa sana kutopata majeruhi ya muda mrefu na njia pekee ni ku incorporate hawa junior players kikosini mapema ili kujenga ari ya ushindi...

YNWA
Mashaka zaidi kwa CB what if Vvd , Konate wakapata injuries za muda mrefu then totally we are doomed
 
Ile mechi ya City vs leicister Nilianza kuona upepo wa title unakuja kwetu maana mpk dk ya 70 ngoma iko 0-0 . Company akaja kuharibu siku vibaya sana.
 
Yaaani hii ni Scouser mentality never say die never give up until the last kipenga, ishu sasa wasizoee hii trend maana kuna wakati inaweza kula kwetu...
So far we are damn lucky...

YNWA

Damn that Scottish ENERGY he captained us today?

That man deserve Armband for sure.

That is how it means to have captaincy material in a team.

Robbo -Scotland.
Szoboszlai - Hungary
Mo Salah Egyptian King -Egypt
VVd - Netherland
Endo -Japan
 
Sioni Klopp akitafuta RB na dogo kashapewa kitambaa cha unahodha katika umri ule.
Sina mashaka na unahodha wake mbali at his experience now at Top Flight he is supposed to play better kuliko anavyocheza sasa...
Dogo anatufanya kua predictable kabisa kiasi hata sisi mashabiki hatumuamini kabisa... Klopp ajitoe mhanga January asajili RB dogo asongee mbele ama kama sio hivyo acheze basi Wingback endapo Klopp atabadili mfumo

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…