Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo Mambo mawili yatatokea St James Park
  1. Newcastle atamfunga Liverpool
  2. Salah atacheza mechi yake ya mwisho kama mchezaji wa Liverpool
Na hapo sasa rebuilding ya Liverpool ndiko itaanzia hapo
 
Wachezaji ni kama wanawake tu akipendwa na mwenye hela zaidi anasepa kumganda mchezaji ni kujivuluga tu.

Salah kesha tamani kuondoka tukubali mabadiliko.

Klopp anazuga tu pesa anaitaka
 
Wachezaji ni kama wanawake tu akipendwa na mwenye hela zaidi anasepa kumganda mchezaji ni kujivuluga tu.

Salah kesha tamani kuondoka tukubali mabadiliko.

Klopp anazuga tu pesa anaitaka

Hawezi kuuzwa summer hii. Next ok even Salah knows this

Labda FSG watamani na walazimishe bila kujali output.

Kumuuza Salah kwa sasa ni kujichimbia shimo ikiwa imebaki siku nne tu.

Na kama ni kumuuza inabidi asajiliwe mchezaji mwenye uwezo wa kukupa magoli 20+ na awe fit through out a season

Bowen anaweza kufanya hivi
 
Salah asepe tu hakuna cha rebuild hapa tunampotezea muda tu kila msimu 40+ contribution ya magoli na assist bila kombe lolote.

2019 fainali vs Tottenham ukuta ulikuwa na arnold, Matip, Dijk na Robertson na sub alikua Gomez tokea muda uo awa jamaa uwezo wao umepungua kwa kiasi flani

2023 leo hii vs Newcastle ukuta ndio ule ule na sub ni ile ile uku wakilindwa na 30 aged midfielder kama usajili mpya

Then mnasema kuna rebuild hapa
 
Salah asepe tu hakuna cha rebuild hapa tunampotezea muda tu kila msimu 40+ contribution ya magoli na assist bila kombe lolote.

2019 fainali vs Tottenham ukuta ulikuwa na arnold, Matip, Dijk na Robertson na sub alikua Gomez tokea muda uo awa jamaa uwezo wao umepungua kwa kiasi flani

2023 leo hii vs Newcastle ukuta ndio ule ule na sub ni ile ile uku wakilindwa na 30 aged midfielder kama usajili mpya

Then mnasema kuna rebuild hapa
Akisepa itapendeza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom