Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Mna timu nzuri mmekuwa outplayed na Chelsea wanaojijenga ,Kama kwa performance ile unaona mnatimu nzuri kazi mnayo
3-1 mechi ya pili
Sisi ni vitendo
Mna timu nzuri mmekuwa outplayed na Chelsea wanaojijenga ,Kama kwa performance ile unaona mnatimu nzuri kazi mnayo
endo atawachukulisha kombe yeye pamoja na tim lenu la vikongweMsimamo wa Ligi mwisho wa msimu
...
...
...
...
...
13. Chelsea
14.
15.
16. Manure
...
...
kama endo kaja kaingia first 11Gakpo mmoja ni sawa ni kikosi kizima cha Chelsea plus Tajiri wao Miluzi.
Caisedo akija Liverpool tunaweza kumpatia kazi ya kubeba mipira ya mazoezi na chupa za maji.







ii tim ata mkude akija anazama apo mngempata caisedo c angekua meneja wa tim kabisaHuyo Caicedo wenu tutamuona leokama endo kaja kaingia first 11ii tim ata mkude akija anazama apo mngempata caisedo c angekua meneja wa tim kabisa
Liverpool hakuna kuhangaika kukimbizana na majina makubwa,vipaji vipo,kazi ni kuvigundua tu
Yeah! Ni kweli Liverpool vipaji ni vingi tu aisee, ila sasa Klopp atafute Mbinu huu mpira wa kuvizia vizia ipo siku tutapigwa sana. Anatakiwa atafute Formation mpya na wachezaji wawe na kasi .
Leo tumempiga Bournemouth kesho tutakutana na Newcastle, Em ona tulivyo kimbizwa na Chelsea sikuile wachezaji hawana kasi ni kuvizia Counter tu na unavyo jua maisha yamebadilika sikuiz mbinu ni mhim ukipoteza mpira una recovery mapema sasa sisi sasatusifurahie ushindi wa leo tufocus mbele kwanza.
Gakpo anatakiwa akae nafasi ya Jota yaani False 9 sasa kumchezesha mido mi naona anaichoma kambi.
ila Backline inanipa headache sana yani ikishambuliwa kidogo tu inakuwa underpressure inagawa mipira kwa adui
Caisedo ndio anaanza Leo ngoja uone maunyama yake uwanjani. Nadhani unamjua vizuri huyu keshakwiva EPLCaicedo anawasaidiaje au anaruka ruka uwanjani tu
Kiukweli saivi tukomae tupate quality CB hata kama tukikosa DM Bajcetic, Endo na Injury Thiago naona kwasasa wanatosha tusubiri dirisha dogo ndio tusajili DM masna naona Klopp anawakumbatia FSGAlilazimika Klopp kufanya hivyo hakuwa na option. Nafikiri coming matches atarudi position hiyo kwa uwepo wa Endo, Bajcetic, Thiago.

sioni usajili tena mm.Na huu ndio ukweli kloop kamaliza hapoKiukweli saivi tukomae tupate quality CB hata kama tukikosa DM Bajcetic, Endo na Injury Thiago naona kwasasa wanatosha tusubiri dirisha dogo ndio tusajili DM masna naona Klopp anawakumbatia FSGsioni usajili tena mm.
Hatari sana.James ward prawse...
Ulimjibu vizur kabisaCaicedo anawasaidiaje au anaruka ruka uwanjani tu



🤣🤣🤣🤣🤣🤣Gakpo mmoja ni sawa ni kikosi kizima cha Chelsea plus Tajiri wao Miluzi.
Caisedo akija Liverpool tunaweza kumpatia kazi ya kubeba mipira ya mazoezi na chupa za maji.
Leo nimeona kwel maunyama ya CAICEDOCaisedo ndio anaanza Leo ngoja uone maunyama yake uwanjani. Nadhani unamjua vizuri huyu keshakwiva EPL


