King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Bornamouth walinyimwa penalty livakuku wakapewa.
Luis Diaz mmoja ni sawa na Kikosi kizima cha Chelsea plus black fans wote waliopo Bongo
Bornamouth walinyimwa penalty livakuku wakapewa.
Bado tunamhitaji sanaSalah bora aende zake uarabuni tu hana tena njaa ya mafanikio
Improvement ni kubwa mno, Tutazidi kuimariki zaidikadri siku zinavyoenda.ipo siku MTU atapasuka 9 au 10
we are very good offensively tukifanikiwa kuwa vizur kwenye ukabaji tumemaliza
Pumbavu weweLiverpool BINGWA watupe kombe letu mapema
YNWA FOREVER





Akina nyamnyam Cash Money ForeverLuis Diaz mmoja ni sawa na Kikosi kizima cha Chelsea plus black fans wote waliopo Bongo