Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

pension huu ndio upuuzi wa Klopp.

Davies & Kabak was his idea waletwe.
Arthur Melo was his idea aletwe.

Yeye ndiye aliye suggest Gomez snd Henderson kupewa deal ya 5 years contract extension. Na hapa ndiopo Michael Edward aliamua kujiuzulu
Suggestion without Budget is a bit useless Mkuu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Suggestion without Budget is a bit useless Mkuu.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sawa tuseme upande wa transfer hana say.

Kuwang’ang’ania the likes of Ox, Keita,Milner nalo?? What about forcing 4-3-3 huku ukiadhibiwa mara kwa mara na sababu zipo na unazijua??
Vipi kuhusu off positions??

Klopp hakwepi katika hili. I am a big fan of him ila penye uhalisis tunauweka.
 
Elioti sio kiungo nimshambuliaji wa pembeni dogo anakipaji anajitahidi tu Kuna watu wanamuunga mkono Klopp dogo kupangwa kati na ufupi ule.

Klopp anawaogopa nyota wake ndomana nasema sio mwalimu.
 
Upuuzi wake ni kukubali kuongoza timu anayojua wazi itashindwa.

Upuuzi mwingine anapigwa nje ndani na timu kama Brighton yenye wachezaji walio feli kwenye timu yake
 
Asipo kuelewa hapo hayokuelewa hata kidogo.

Hoja kuu hapo kakuta tim kafanya nayo vyema alioandaa yeye inaporomoka tatizo lipo kwake asilimia kubwa
 
Timu bado inaendeshwa kwa sera ya kuuza na kununua ili ku-balance vitabu vyake na matumizi halisi, Na hii ina maana kwamba OWNERS hawa ivenst pesa kwenye klabu, Klabu inajiendesha yenyewe.

Timu ina lack ya our spending na wa kulaumiwa ni FSG.

Tulikaa miaka 30 bila PL title LFC hatunaga Ambition.
 
Huyu Nunez naona usuarez ndani yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2291503


Huyu ametumwo na ukoo, kijiji, wilaya, mkoa na nchi aje kusaka maisha Ulaya na hataniiiii🔥🔥🔥🔥....

New el nino in town...

YNWA
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
2017 - 2022 Liverpool is Over,Back to fighting for 4th spot Now. Future is not looking good at All.
 
Nunez ni project iliyo feli, Gakpo is better than Nunez.
Kwa umri wake Bado, Nunez tatizo lake ni Mapepe kwenye goli baaasi. ni suala la msimu huu tumwone development yake maana ana mikimbio hatari sana wakati tukishambulia (Complete Forward) kama umemcheki gemu alizocheza.
-Ball control[emoji736]
-Speed[emoji736]
-Dribbling[emoji736]
-Flair[emoji736]
-Clinical Finish[emoji777][emoji849]
 
Huyo mchezaji ana
1. First touch ya lukaku
2. Mikimbio ya Magwaya
3. Mapepe ya Raheem Sterling
4. Kukosa magoli kama Kai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…