BukuTatu_AlfuTatu
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 250
- 559
Kuna hili nyau lingine Gomez linasahaulika na Maboko yote Yale sijui ana mjomba wake pale.kuondoka kwa hizo nyau ni ushindi mkubwa sana kwa sisi mashabiki
Kuna hili nyau lingine Gomez linasahaulika na Maboko yote Yale sijui ana mjomba wake pale.kuondoka kwa hizo nyau ni ushindi mkubwa sana kwa sisi mashabiki


| 𝐊𝐘𝐋𝐈𝐀𝐍 𝐌𝐁𝐀𝐏𝐏𝐄 𝐅𝐎𝐑 𝐒𝐀𝐋𝐄!
Gomez mitano tenaKuna hili nyau lingine Gomez linasahaulika na Maboko yote Yale sijui ana mjomba wake pale.
Usini-quote tafadhaliGomez mitano tena

Shabiki mwenzio Liver huyo 😃Usini-quote tafadhali![]()
Hawezi akawa LFC huyu mchafua UziShabiki mwenzio Liver huyo![]()
Gomez mitano tenaUsini-quote tafadhali![]()
UsituchekesheI will miss him surely![]()
Gap lake litaonekanaUsituchekeshe
kabisa mkuu Gomez hakuna kitu Sasa magoal gan haya wanafungwaMATIP na GOMEZ Hakuna Defender hapa tunapoteza muda tu na hizi Takataka.
Man, We have to sign a CB this summer.kabisa mkuu Gomez hakuna kitu Sasa magoal gan haya wanafungwa