Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

VVD ni Great lakini anaelekea kuwa Declining.
KONATE Ni Great lakini ni Injury prone.

MATIP Ameoza
GOMEZ Ameoza.

Kama tusipofanya sign ya Defender tusahau kuwa na Good Season.
 
Man, We have to sign a CB this summer.
Tofauti na hivyo One injury ya VVD au KONATE tutakuwa kwenye Big Trouble.
kabisa mkuu na kiungo mwingine wa kati Kama fabinho na Henderson wataondoka hv Stefan bajcetic sjamuona n injury au ?
 
Hata kama ni mechi ya kirafiki But conceding 4 Goals in 1 half to GREUTHER . Hii Hapana.
 
Tunahitaji CB wawili na DM Mmoja bila hapo season tutaiona mbaya mpaka sasa Foward na Midfielder atleast matumain yapo ila Beki hakuna beki mle . Alafu kwenye usajili simuelew klopp kuwa kunausajili ataufanya we are doomed
 
Tunahitaji CB wawili na DM Mmoja bila hapo season tutaiona mbaya mpaka sasa Foward na Midfielder atleast matumain yapo ila Beki hakuna beki mle . Alafu kwenye usajili simuelew klopp kuwa kunausajili ataufanya we are doomed
Tukubali Tu Vvd amekwisha.. tunahitaji beki kama watatu wapya
 
Tunahitaji QUALITY CLEAN SIGNINGS, if we are to compete next season.
Established
CB
RB
DM

Tunavyochelewa kufanya usajili hata tumpate complete player Klopp ataendelea kuwaweka bench tu.

Sell Gomez or Matip before its too late.
 
Tunahitaji QUALITY CLEAN SIGNINGS, if we are to compete next season.
Established
CB
RB
DM

Tunavyochelewa kufanya usajili hata tumpate complete player Klopp ataendelea kuwaweka bench tu.

Sell Gomez or Matip before its too late.
Klopp ana mpango wa kusajili Left Footed CB Kuna Dogo wa kijerumani anakipiga Dortmund Nico Schlotterbeck nahisi anamvizia na madili yake ya kimya kimya
 
Ni kweli
Screenshot_20230725-210959.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom