Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hakuna mtu anayebisha juu ya alichofanya Klopp labda unajitoa ufahamu tu.

I myself im among who still believe he will give us trophies. Ila ukweli lazima usemwe. Klopp amezingua mara nyingi sana hata kwenye ukweli.

Hivi unataka makombe unahangaika kubaki na
Henderson
Milner
Keita
Ox
Gomez
Jones

For years, hata kama quality yao imeshuka? Hapana hapa Klopp katudanganya sana. Ishu ya TAA iliongelewa last two seasons amekomaa naye na ameiathiri timu sana maa alikuwa exposed mno, shida sio TAA shida Klopp. As coach lazima ujue namna ya kumtumia mchezaji wako pamoja na mapungufu yake ili akupe alicho na uwezo nacho. Na baada ya hapo tuliona last 10 matches vile TAA alileta utofauti kwenye timu, akiwa as inverted MF.

Pep anayabeba makombe kwa sababu hana ubaba ana ukocha haswa . Sifa moja ya kocha ni kuweka nidhamu kwenye timu na kuondoa upendelo na imemlipq hasa. Enzi za Sir Fergie, kina Mou tuliona even stars of the timu wakisugua bench au kuuzwa kama mchango wao na Klabu utaonekana kushuka.

Lakini hii imekuwa na utofauti sana kwa Klopp, kiasi cha kuzidiwa kete na wachezaji.

Hivyo basi, utambue Klopp ana heshima zake ila kwa misimu minne katudanganya sana. Timu kukaa bila kusajili quality players kwa yeye kusema ana kikosi, kumbe ni (quantity over quality). Haiwezekani timu iliyocheza 70% mwaka 2018 mpaka leo uwe nayo, kuwa nayo sio tatizo bali wameshakwisha uwezo wao. Na hii ndio imefanya tuone mwaka huu tunahitaji usajili mkubwa.

M. Edward alitofautiana mtizamo na Klopp hakutaka kina Henderson, Gomez waongezewe mkataba mrefu kwa sababu ya umri na kiwango chao. Plus Milner kuongezewa mkataba, akaamua kuondoka kwan Klopp aliwang’ang’ania.

Huyu huyu Klopp, alitudanganya kwa Melo, kasajiliwa kacheza less than 30 min tena kutokana na kulazimishwa na majeruhi. Ilikuwa mechi vs Napoli. Klopp huyu huyu alitaka Milner aongezewe mkataba Klabu ikamchomolea nje, alitaka Bobby aongezewe mkataba Bobby akamchomolea nje.

Sasa kwa madhaifu kama haya ya kocha kwa nini asilaumiwe????

NB

Klopp amefanya makubwa, lawama anazoshushiwa ni kutokana na alikuwa na uwezo wa kufanya zaidi ya hapo ila kiburi na ubishi kimefanya asifikie huko.

YNWA
umeiweka vizuri, ila sijui kama ataelewa hiyo ndugu!
 
Hv wamenipga ban kwenye id yangu hii? Yaani nashindwa kupost wala ku create post. Sasa namm nimepewa kazi ya kupiga ban yaan nitapiga ban kila mtu
Screenshot_20230602-071841.jpg
 
Mchezaji akitakiwa Tu na Liverpool anapanda thamani na kuanza kugombaniwa...

Manuel Urgate Chelsea na PSG wanamgombania...
Acheni hii nadharia, kila team ina scout wake, nyie sio wa kwanza peke mliokuwa mnamtaka Ugarte.

Kwamba mnataka kusema nyie ndio mmemuona ugarte peke yenu?

Vipi kuhusu Manu Kone,K Thuram?????
 
Acheni hii nadharia, kila team ina scout wake, nyie sio wa kwanza peke mliokuwa mnamtaka Ugarte.

Kwamba mnataka kusema nyie ndio mmemuona ugarte peke yenu?

Vipi kuhusu Manu Kone,K Thuram?????

Mimi nafatilia transfer rumours mwaka mzima...sikuwahi sikia Chelsea wala timu yeyote Ile inamtaka Ugarte...zaidi ya Liverpool...
Kama Jude Belingham...mwaka mzima ni Liverpool inamtaka ...halafu mwishoni unasikia Kaenda Madrid
 
Mimi nafatilia transfer rumours mwaka mzima...sikuwahi sikia Chelsea wala timu yeyote Ile inamtaka Ugarte...zaidi ya Liverpool...
Kama Jude Belingham...mwaka mzima ni Liverpool inamtaka ...halafu mwishoni unasikia Kaenda Madrid
Kuna team zinafatilia mchezaj kimya kimya,
Kuanzi April chelsea scout walikuwa wanamfatilia Ugarte.


Ni sawa na leo hii hawa wakina Manu Kone,Thuram wote hawa tulikuwa interested nao ila sio main priority
 
Acheni hii nadharia, kila team ina scout wake, nyie sio wa kwanza peke mliokuwa mnamtaka Ugarte.

Kwamba mnataka kusema nyie ndio mmemuona ugarte peke yenu?

Vipi kuhusu Manu Kone,K Thuram?????

Kuna nadharia zina ukweli mkuu.

Kipindi cha wenger hiki kitu kilikuwepo, miaka ya karibu imekuwa hivi kwa Liverpool.

Transfer za hivi zimekuwepo sana tu na zitakuwepo. Kuna makocha wanaaminika wakimtaka mchezaji % kubwa huwa na kipaji kizuri. Na kuna wachezaji wanauzwa na media pia.

Kwa sasa hivi LFC, anapogusa tu hata bei lazima ipaizwe. Hii ni kanuni tu mkuu the higher the demand the higher the price.
Caicedo (hakuna aliyemtaka kwa top teams kabla ya Liverpool). Last summer january Arsenal & Chelsea wakaingilia deal.
Belligham before Liverpool hakuna top team ilikuwa na story nae, baada ya liverpool kuingilia deal Madrid huyu hapa.

Umesikia timu kubwa inahusishwa na hao, Kone & Thuram?

YNWA.
 
b2f00b6b-12ba-459e-a9b6-7d2a8caf0a59.jpg

bb6041c7-2367-4e10-95a0-636bbd61f1ab.jpg

F
6deb5304-e988-4072-8db9-999f9427b3f4.jpg

Anfield Expansion.


FSG katika ubora wao.!!! Hapa hata hawaitaji ushauri wa mtu yeyote ni kumwaga pesa tu. Makusanyo ya timu yanawekezwa humu, ila ndani ya uwanja ndio POLICY nyiiiiiiiiingi.

Anyway tutawakumbuka(ga) kwa hili.


ynwa
 

Attachments

  • ce82c7bb-4af4-4e06-9997-1a98e1065e76.jpg
    ce82c7bb-4af4-4e06-9997-1a98e1065e76.jpg
    56.5 KB · Views: 12
  • ea9611d1-6ae5-424a-9932-e60db7fc8641.jpg
    ea9611d1-6ae5-424a-9932-e60db7fc8641.jpg
    39.9 KB · Views: 14
Kuna nadharia zina ukweli mkuu.

Kipindi cha wenger hiki kitu kilikuwepo, miaka ya karibu imekuwa hivi kwa Liverpool.

Transfer za hivi zimekuwepo sana tu na zitakuwepo. Kuna makocha wanaaminika wakimtaka mchezaji % kubwa huwa na kipaji kizuri. Na kuna wachezaji wanauzwa na media pia.

Kwa sasa hivi LFC, anapogusa tu hata bei lazima ipaizwe. Hii ni kanuni tu mkuu the higher the demand the higher the price.
Caicedo (hakuna aliyemtaka kwa top teams kabla ya Liverpool). Last summer january Arsenal & Chelsea wakaingilia deal.
Belligham before Liverpool hakuna top team ilikuwa na story nae, baada ya liverpool kuingilia deal Madrid huyu hapa.

Umesikia timu kubwa inahusishwa na hao, Kone & Thuram?

YNWA.
Yes, Kone n Thuram wote wako kwenye target za chelsea sema sio main priority kama ilivyo kwa Ugarte n Caicedo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom