Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kiukweli tukipata Midfielder hata mmoja tena tunahitaji CB na Right back 1 each, hapo sasa tutakuwa tayari kwa kukabiliana na EPL msimu ujao, Maana pia tunae Stefan Bajcetic yupo vizuri sana.
Nadhani tunahitaji pia natural number 10.Tangu coutinho hatujapata mtu wa kulainisha vitu kwenye final third.Mtu ambaye atafungua hizo low blocks ambazo mara nyingi zinaisumbua Liverpool.

Mtu ambaye hata tukiswich kwenye 4-2.-3-1 atakuwa nyuma ya Gapko/Jota na katika mstari mmoja na Salah(kulia) na Diaz(kushoto).

Hii 4-3-3 ya Klopp inakwamaga sana mara nyingi tuu....
 
Nadhani tunahitaji pia natural number 10.Tangu coutinho hatujapata mtu wa kulainisha vitu kwenye final third.Mtu ambaye atafungua hizo low blocks ambazo mara nyingi zinaisumbua Liverpool.

Mtu ambaye hata tukiswich kwenye 4-2.-3-1 atakuwa nyuma ya Gapko/Jota na katika mstari mmoja na Salah(kulia) na Diaz(kushoto).

Hii 4-3-3 ya Klopp inakwamaga sana mara nyingi tuu....
Gakpo ni namba ngapi?
 
Nadhani tunahitaji pia natural number 10.Tangu coutinho hatujapata mtu wa kulainisha vitu kwenye final third.Mtu ambaye atafungua hizo low blocks ambazo mara nyingi zinaisumbua Liverpool.

Mtu ambaye hata tukiswich kwenye 4-2.-3-1 atakuwa nyuma ya Gapko/Jota na katika mstari mmoja na Salah(kulia) na Diaz(kushoto).

Hii 4-3-3 ya Klopp inakwamaga sana mara nyingi tuu....

Viega angefaa Sana lakin nasikia hatujapeleka bids
 
Hapa tuchukue nani?
Screenshot_20230605-220707.jpg
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool have triggered the clause for Alexis Mac Allister — it’s just £35m!

Medical completed, contract until June 2028
 
Tumchukue sasa na Gabri veiga aisee
Hata many Kone..

List ya available midfielders ni ndefu
Manu Kone
Thuram.
Tielmans
Goretska
Madison
Mo Kudus.
Leiva.
Frank kessie..
Nicolo Barela
James ward prawse
Adam Tyler


List kubwa...
 
Macalister done...

Bado Manu Kone na replacement ya Trent kwenye defence..we are good

Klopp anatazamia kurejea kwa Calvin Ramsey kuchukua nafasi hiyo.

Read klabu imewaona mawakala wa Manu Kone na Khephren Thuram kwa ajili ya kuongelea deals zao.

Huenda, mambo yakikaa sawa watatua. Sijajua kama Klopp bado ana mhitaji Matheus Nunes. Ngoja tuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom