Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ugarte ....
Barella..
McAllister

Rumours hizi zitatunyofoa viungo..!!!

They are all good kufit kwa Klopp.

Nafikiri twapasa kufanya biashara kubwa 2-3 kimya kimya ili kupata wachezaji wazuri kwa bei nzuri.

Rice nasikia Westham wameshasema anapatikana kwa £120m hapo timu bado hazijaanza kupeleka maombi ya kumsajili.

Yasije kuwa ya Kevini Philips.

YNWA
 
75945613-bc3f-461d-9e4b-d3cadbf6cd00.jpg

Away kit 2023/2024
 
Rumours hizi zitatunyofoa viungo..!!!

They are all good kufit kwa Klopp.

Nafikiri twapasa kufanya biashara kubwa 2-3 kimya kimya ili kupata wachezaji wazuri kwa bei nzuri.

Rice nasikia Westham wameshasema anapatikana kwa £120m hapo timu bado hazijaanza kupeleka maombi ya kumsajili.

Yasije kuwa ya Kevini Philips.

YNWA
Rumours hizi zitatunyofoa viungo..!!!

They are all good kufit kwa Klopp.

Nafikiri twapasa kufanya biashara kubwa 2-3 kimya kimya ili kupata wachezaji wazuri kwa bei nzuri.

Rice nasikia Westham wameshasema anapatikana kwa £120m hapo timu bado hazijaanza kupeleka maombi ya kumsajili.

Yasije kuwa ya Kevini Philips.

YNWA
Rumours hizi zitatunyofoa viungo..!!!

They are all good kufit kwa Klopp.

Nafikiri twapasa kufanya biashara kubwa 2-3 kimya kimya ili kupata wachezaji wazuri kwa bei nzuri.

Rice nasikia Westham wameshasema anapatikana kwa £120m hapo timu bado hazijaanza kupeleka maombi ya kumsajili.

Yasije kuwa ya Kevini Philips.

YNWA



Kuna sehemu nimesoma Liverpool inahusishwa na midfielders 58
 
Kuna sehemu nimesoma Liverpool inahusishwa na midfielders 58

Hahaha hapo ni kidogo hao..!!! Wataongezeka subiri misimu imalizike.

But Klopp alisema wana shortlist ya 12 MFs. Hao 46 waliyoongezeka ni kuuza magazeti tu. Maana kati ya hao 12 nafikiri tutapata wa 3-4 baaasi. Na ikitokoea tumezidisha MFs basi hao deal lao kama la Origi, anasajiliwa ila kuja ni msimu ukamilike

YNWA
 
Jurgen Klopp admits he waited TOO LONG to change 'big things' at Liverpool this season - as they're left hoping for slip-ups from Newcastle and Man United to sneak into the top four

****************************************

Klopp on landing targets with or without UCL:

“If they’re talking to us, then they’re already pretty clear on that situation. It’s obvious that we have to fight for the champions league & trophies. If you want to be part of that, then you’re more than welcome. It’s still Liverpool, and we are very attractive for a lot of players.”

****************************************

️𝗜𝗡𝗙𝗢 - @cmjornal:

- Manuel Ugarte moving to Liverpool is now a "matter of time."

(...) Sporting have also alerted Liverpool that sanctions can be imposed on them if they keep talking to Ugarte during the season after they were left angered by his agent's comments

YNWA.
 
Thiago kafanyiwa operesheni... hip surgery

Tuna wagonjwa wengi kwenye timu
Thiago
Keita
Ox
Matip

Hapo weka avarage players
Gomez
Jones
Elliot

Weka wanaojaza nafasi tu hawapati kupangwa
Melo
Adrian
Philips

Weka wenye umri wao walio under perform
Vvd
Faby
Hendo
Robbo
Bobby

Mweke mwenye namba yake ambaye hana stats za kuibebs timu
Grandpa himself MILLIE…

Hapo kuna rotation ya majeruhi,

Hapo weka ubishi wa Klopp, hapo weka ubahili wa FSG.

Kuna millions of reason kuwa na hali tuliyonayo msimu huu.

Nachoamini tutamaliza league in style, kwa top four tukiingia baasi huyo Klopp itakuwa miraculous man.

YNWA.
 
I read one article, Klopp anataka kwenda mazima kwa Tielemans as a free agent.

Huyo bora aje tu, Belgium atleast ataongeza quality. Wacheza watakaosajili kwa gharama kubwa nadhani wawili au watatu, tukisajili zaidi ya hapo basi ujue free agents watakuwepo.

Kwa bei zilivyo tutatumia sana, sana haizidi £150m labda FSG wapigwe hasara ya kutofuzu CL, iwaume waamue kuwekeza.
Japo sioni ikiwa sababu, sana kwani kuna expansion ya uwanja itaanza baada ya mechi ya mwisho ya ligi pale ANFIELD vs Villa.

YNWA
 
I read one article, Klopp anataka kwenda mazima kwa Tielemans as a free agent.

Huyo bora aje tu, Belgium atleast ataongeza quality. Wacheza watakaosajili kwa gharama kubwa nadhani wawili au watatu, tukisajili zaidi ya hapo basi ujue free agents watakuwepo.

Kwa bei zilivyo tutatumia sana, sana haizidi £150m labda FSG wapigwe hasara ya kutofuzu CL, iwaume waamue kuwekeza.
Japo sioni ikiwa sababu, sana kwani kuna expansion ya uwanja itaanza baada ya mechi ya mwisho ya ligi pale ANFIELD vs Villa.

YNWA

Fsg wapumbavu Sana..
Wanatafuta hela wakaanzisha timu NBA huko las Vegas ..na wanatumia kuuza hisa za Liverpool Kwa ajili hiyo..
Sina matumaini kabisa
 
Fsg wapumbavu Sana..
Wanatafuta hela wakaanzisha timu NBA huko las Vegas ..na wanatumia kuuza hisa za Liverpool Kwa ajili hiyo..
Sina matumaini kabisa

Mkuu hawa jamaa ubahili ni jadi yao. Hizo timu wanazozimiliki ni vilio kama huku Liverpool tu.

Ki ufupi kwenye biashara michezoni sio saizi yao.

Tungefungwa kama Chelsea 5 mfululizo, wale wajiitao Top reds wangeweka pressure kubwa kwa FSG ama kuuza timu au kuwekeza
 
NEW: Liverpool want to proceed with deals as soon as the campaign finishes, with Klopp’s squad due to report for pre-season training on July 8.⁣

Both Mac Allister and Mount are wanted by several clubs, with Mount’s valuation key to his future. The suggestion that Chelsea will seek around £70 million for the England international seems inflated when he has one year remaining on his contract.⁣

There is interest in signing a third midfielder depending on cost, with Bayern Munich’s Ryan Gravenberch among those who have come under consideration. #LFC [paul joyce - times]
 
Yes..!! They are not elite players, lakin vipi kama una jones 1st eleven, na timu linaenda enda tu, why not Tielemans??

Hawa wanaweza kutupa depth hata mickey mouse cups timu inakuwa na players wa kiwango cha Ward wanawapa kitu.

Nafikiri tutapata 2 elites and 2 as 2nd choice. But i believe Klopp kwenye kuwafanya wasiojulikana wajulikane.
YNWA
Ishu hapa ni kujua Klopp ela inatoka wapi je FSG watakopa ama watamwambia Klopp auze wachezaji ndio anunue.. Kama watakopa let say 200m hivi then hapo inakua ni proper chest kuingua sokoni kimkakati... Ambapo apate 3mfs established na RB mmoja established na CB moja upcoming... Then kama ikitokea Klopp ameuza hapo ataongeza sasa squad players..
Kwenye kuuza i won't mind kuona akiuza
Thiago
Henderson
Matip
Jones
Kelleher
Na pengine huko academy kama akipata ofa nzuri nzuri...

Dirisha halina muda tu ligi ikiisha mishe zinaanza kwa kasi sanaaa.

YNWA
 
Fsg wapumbavu Sana..
Wanatafuta hela wakaanzisha timu NBA huko las Vegas ..na wanatumia kuuza hisa za Liverpool Kwa ajili hiyo..
Sina matumaini kabisa
Tuna wamiliki wanyonyaji mpaka basi... Unapokea mkono wa kulia aafu mkono wa kushoto unatoa.. Liverpool ndio main asset kwao kuvutia wawekezaji kwenye hio empire yao nk lakini wapo clueless kabisa namna bora ya ku maximise opportunities zilivyojitokeza chini yao especially kushinda EPL zaid ya moja wao kushiriki UCL wanaona wamemaliza kila kitu ndio maana msimu huu potelea mbali tusipoingia Big 4 ni sawa tu ili waguswe wanapojali zaidi na ni mapato ambayo ushiri wa UCL unachangia parefu sana.

YNWA
 
Ishu hapa ni kujua Klopp ela inatoka wapi je FSG watakopa ama watamwambia Klopp auze wachezaji ndio anunue.. Kama watakopa let say 200m hivi then hapo inakua ni proper chest kuingua sokoni kimkakati... Ambapo apate 3mfs established na RB mmoja established na CB moja upcoming... Then kama ikitokea Klopp ameuza hapo ataongeza sasa squad players..
Kwenye kuuza i won't mind kuona akiuza
Thiago
Henderson
Matip
Jones
Kelleher
Na pengine huko academy kama akipata ofa nzuri nzuri...

Dirisha halina muda tu ligi ikiisha mishe zinaanza kwa kasi sanaaa.

YNWA

FSG bado wanatafuta mwekezaji mwenza, au lah watakopa. Sell to buy haiwezi kutulipa.
Mambo yamepoa kwa sababu ya six straight win na tupo few points behind top four…!!!

Naona ishu bado ya uhakika wa top four vile haujakamilika biashara inacheleweshwa. Brighton they are serious. Wanajua Mac Alister, Caicedo, March kuna uwezekano wasiwe nao next season, naona wanafanya biashara fasta za kununua wanajua pesa kwa hao watatu tajwa hapo juu watarejesha hiyo pesa.

Kuna article ameandika James Pearce kama sijasahau inaonesha LFC wakifuzu CL watapata £58m, pesa nzuri sana hii ikiwa tutaipata.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom