The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
The owners man wanazingua mnoooo hawapo serious kuwekeza wakati sahihi maskini Klopp kila muda lazima asugue sana akili namna bora ya maximise output ya wachezaji waliopo aisee...
Wachezaji wengi especially elite talents wanapenda kwenda timu inayo challenge top trophies on yearly basis lakini pia wengine wanaangalia ubora wa kikosi na ndio maana wengi kabla ya kusaini hua wanaomba vikao kujua mkakati wa usajili wa timu upo vipi kwa sababu hawati kua wasidikizaji wengine wapate makombe...
Kule Ureno na Uholanzi wana vipaji wengi tu na kwa bei nzuri tu hivyo Klopp sio lazima anunue EPL japo tuna historia nzuri sana na wachezaji tulionunua hapa EPL wakiwa direct hit na major impact lakini ukiwa na bajeti ndogo ni vyema kununua nje ya EPL hakuna namna.
YNWA
Liverpool Taasisi kubwa, wakakope. Halafu cha kushangaza Standard Chartered benki kubwa, na ndiye frontline sponsor, ila cha ajabu hawawashawishi FSG wawakope kuwekeza.
YNWA.


