Tielmans hiyo ndo missing piece pale Kati hao kina ndindi waachie arsenalLeicester nao wanashuka..
Tukachukue Nani?
Tielmans..
Ndidi.
Madison .
??
Tangu yule mmiriki afe kwa ile ajali ya ndege hii timu imekua ya hovyo sana japo wanatengeza hasara kama misimu mitatu hivi kiasi walishapewa angalizo wa balance vitabu na hii iliwapelekea kukosa kuwekeza kwa wachezaji katika madirisha kadhaa yaliyopita.. Kimsingi hili la wao kushuka daraja lipo wazi kwani kuna kipindi wanapata majeruhi aafu unakuta ma beki ni MF tupu.Leicester nao wanashuka..
Tukachukue Nani?
Tielmans..
Ndidi.
Madison .
??
Gapko= FirminoWana ondoka hawa..
1.Firmino
2.Milner
3.Ox
4.Keita
5.Arthur
Je tutapata replacement quality??
Tangu yule mmiriki afe kwa ile ajali ya ndege hii timu imekua ya hovyo sana japo wanatengeza hasara kama misimu mitatu hivi kiasi walishapewa angalizo wa balance vitabu na hii iliwapelekea kukosa kuwekeza kwa wachezaji katika madirisha kadhaa yaliyopita.. Kimsingi hili la wao kushuka daraja lipo wazi kwani kuna kipindi wanapata majeruhi aafu unakuta ma beki ni MF tupu.
Maddison atakua Kieta au Thiago aliechangamka hivyo hapana... Ndidi nae sio big boys league class ana mapungufu yake mengi mengi.. Tieleman huyu kama mshahara na bei yake sio parefu aje.. Actually pale Southampton pana wachezaji wengi sana wa kuzoa kuliko hapa Leicester.
YNWA
Wana ondoka hawa..
1.Firmino
2.Milner
3.Ox
4.Keita
5.Arthur
Je tutapata replacement quality??
Randol Kolo naona Bayern Munich wameambiwa leteni £100m hivyo hapo hatumo kabisa.
YNWA
Mbona hatari hii kila mchezaji wanampandisha bei
Mbona hatari hii kila mchezaji wanampandisha bei
Dude is Ox +Kieta =Rise.Labda City au Chelsea even Utd. Ila kwa bei hiyo kwa policy ya FSG hiyo bei ni kubwa sana hapo mshahara atahitsji 300k+
Ila ni mchezaji mzuri, anakupa walau mechi 40 +
View attachment 2618088
Stats zake hizi. Hapa hamna FA matches, EFL na mwaka walioshiriki Europe.
Sokoni sasa hivi bei zimechangamka…!!!
Both Tielemans na Ward sio big game players hawa at least may be hawajapewa hio platform ya kufikia level hizo.... Lazima tu sign elite player mmoja to change kabisa this lackluster form.. Lazima tufahamu kwamba ishu tunahitaji creative players to get the best from Nunez...Tielemans ni free agent kufika june. Stats zake zinaridhisha kama free injury player.
View attachment 2617286
Stats zake walau anakupa mechi 35+ akiwa uwanjani.
View attachment 2617287
Huyu ni Ward Prowse injury free player. Anakupa 10+ G&A as MF.
Will be good signing bei nzuri mshahara rafiki kwa bajeti zetu za kibahili.
😂 😂 😂 Wakati wanasema he is pumping above his weight haha... Kwamba hata Carabao hakutakiwa achukue wala big 4 kwa kua bado kikosi sio kamilifu...Yaani huyu ETG hana jambo bora Manjesta wangebaki na Ole tu 😂😂😂
Dude is Ox +Kieta =Rise.
YNWA
I wanted to say so…!!! But finger on my mouth…Both Tielemans na Ward sio big game players hawa at least may be hawajapewa hio platform ya kufikia level hizo.... Lazima tu sign elite player mmoja to change kabisa this lackluster form.. Lazima tufahamu kwamba ishu tunahitaji creative players to get the best from Nunez...
I won't mind getting Ward na Tielemans kama 2nd n 3rd choice baada ya kupata creative boy pale kati.
Ward mipira ya adhabu pekee italipa mshahara wake haha boy is dead ball guru... The street are yet to know how good he is....
YNWA