Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila Babu alikuwa assist leader Uefa Champions league 2018 kama sikosei...Mkuu mpe heshima yake japo hutachukiwa wala kupendwa na kila Mtu.
Simchuki aisee mbali wenye timu wamechelewa sana kumtoa akasake maisha kwingine...

Lazima uelewe FSG hawana ufahari kua na benchi la kueleweka hivyo hawa ambao wamekua wakilipwa parefu kama hawana jipya uwanjani wanatakiwa wasepe mapema tu tupate damu changa kuleta ushindani kwenye lIgi nk

YNWA
 
Screenshot_20230508_111225.jpg

Assuming hatupotezi wala kutoa sare mechi zilizobaki basi huyu OllaChuga Oc afanye msaada tujikute Big 4.

Chelsea sasa ndio ameshikilia mpaka ubingwa wa Arsenal 😅😅😅.

Come one Les Blue fanyeni kweli undugu kusaidiana... 😁😁😁

YNWA
 
View attachment 2614168
Assuming hatupotezi wala kutoa sare mechi zilizobaki basi huyu OllaChuga Oc afanye msaada tujikute Big 4.

Chelsea sasa ndio ameshikilia mpaka ubingwa wa Arsenal .

Come one Les Blue fanyeni kweli undugu kusaidiana...

YNWA
newcastle keshaenda, anahitaji point 6 ili afuzu CL, atazipata tu kwa hizo game alizobakiwa nazo!
 
newcastle keshaenda, anahitaji point 6 ili afuzu CL, atazipata tu kwa hizo game alizobakiwa nazo!

Atazipata bila kucheza?
EPL haipo hivyo,BHA kapigwa 5 kwake na Everyon.
NC na Leeds ugenini week hii
Sio easy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom