Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
BelyGam wa kazi gani sasa Milner na Henderson wapo wanatosha pia kuna thiagoSijui huko mazoezini hua hawa wazee wanampa nini Klopp na wakija mchezoni hatukioni kabisa kwa sababu tangu ile fainali ya Champions League ilionekana tumepwaya sana pale kati kati na panahitaji uwekezaji dhabiti.. Haya Klopp mpaka akaongea na Tchouameni dogo akachagua Real Madrid na Klopp akaingia mitini akituaminisha na spinning za mtadaoni kwamba tusubiri msimu mmoja aje kumpata Bellingham na tutakua sorted kwa miaka 10 ijayo sasa yamewakuta kwa sababu pale kati hapahitajiki mchezaji mmoja mbali wawili au watatu ili pakae sawa na mpaka hapo tukawa hatupo kwenye mbio za Bellingham tena na vile vile tiketi huo ubavu wa Istanbul hatuna kabisa kwa sasa labdda twende pre season
YNWA

#LFC