Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Amkati tamaa si tusha sema nafasi yenu ni ya 8 msimu huu na Chelsea yake ni 10
 
Dogo anatimka
 

Attachments

  • Screenshot_20230422-190346_Twitter.jpg
    Screenshot_20230422-190346_Twitter.jpg
    198.9 KB · Views: 11
Kabisa
Heri Fabinho kasema

Hata machine huwa zinapumzishwa zipoe.

Wacheze tu , wakichoka wacheze vyovyote.

Before last summer, yeye na Vvd waliongelea kuhusu usajili. Dhumuni “timu inahitaji usajili”
Klopp, FSG na jopo lao wakaona kam hawa hawajui kitu.

Msimu huu maneno yao yamejidhihirisha we need fresh legs with quality.
 
Before last summer, yeye na Vvd waliongelea kuhusu usajili. Dhumuni “timu inahitaji usajili”
Klopp, FSG na jopo lao wakaona kam hawa hawajui kitu.

Msimu huu maneno yao yamejidhihirisha we need fresh legs with quality.
Na tunawalaumu bure
Kiukweli wamechoka sana,na hii yote ni kwa sababu hawapumzishwi watoto wa watu .
Sijawahi ona VVD na Fabinho wakupumzika,labda wawe majeruhi.
 
Mdogo mdogo mpka nafasi ya kushiriki uefa tunaipata
YNWA FOREVER
Hivi arsenyeto walipataje droo anfield
 
James Milner, out of contract in June. Jurgen Klopp on his future: "There's no update on Milner contract as of now". #LFC

"Until we have something to say about it, I would have thought. Whenever that will be".



Kimenuka huko
 
Ametuacha mbali kwa sababu wana consistency ya usajili na ishu pia wana mtadao mzuri sana wa mawakala.. Kwa mfano yule Alverez sidhani kama bei ilifika 15m na dogo ni kazi kazi na kingine Pep hang'ang'anii wachezaji wakishatumika vya kutosha anawaachilia na kuleta damu changa wenye njaa ya ushindi na hio inapadisha hadhi ya ushindani kikosini...

YNWA
Ukongwe dawa Milner mitano tena ni kaka mkuu uwanjani
 
Hawa mpaka aje mmiliki mpya au wapate mkopo waingie sokoni kimkakati ndio wataeleweka.

YNWA
FSG mitano tena msiuze mali na wala mashabiki wasiwapangie Ebo
Hakuna haja ya usajiri mpya
Tuna
Milner
Henderson
Ox
Keita
Thiago
VVD kisiki hawa wote wanaweza kutumika misimu mingine 3 au 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom