Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,448
- 32,877
Nyie haya huyu Klopp na FSG wanachokitafuta watakipata tu...Hivyo basi hakuna haja ya usajiri mpya
Msimu ujao sio mbali wataelewa mashabiki tupo hoi
YNWA
Nyie haya huyu Klopp na FSG wanachokitafuta watakipata tu...Hivyo basi hakuna haja ya usajiri mpya
Si unaona gari limeweka lakini Milner na Henderson wameupiga mwingi janaNyie haya huyu Klopp na FSG wanachokitafuta watakipata tu...
Msimu ujao sio mbali wataelewa mashabiki tupo hoi
YNWA
He is there to stayAsepe zake tushachoka kuchekwa sie.
Matip out..nafasi yake Mohamed Salisu kutoka Southampton...
YNWA
Hadi wewe umeanza kuogopa😆Nyie haya huyu Klopp na FSG wanachokitafuta watakipata tu...
Msimu ujao sio mbali wataelewa mashabiki tupo hoi
YNWA
PalepaleKumbe kanalengesha? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji39][emoji39]
Ni wajukuu wa Malkia.Dah! Anaboa sana huwezi mbakiza Milner, Hendo na Matip wote hao walitakiwa kuondoka, dirisha la usajili likifunguliwa unaweza shangaa klopp akasajili Midfielder mmoja tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akitegemea kuwa usajili wa Milner na Hendo unatosha kwa kuwaongezea mikataba mipya na hawa wachezaji sijui wana kitu gani special [emoji23]
Mimi ntaenda pale anfield na Bango la kizungu na la kiswahiliNyie haya huyu Klopp na FSG wanachokitafuta watakipata tu...
Msimu ujao sio mbali wataelewa mashabiki tupo hoi
YNWA
Milner aliingia kulinda magori bila yeye yangerudiNi wajukuu wa Malkia.
Jana LiMilner linaingizwa
Ili mradi ionekane tu kuwa naye ameshiriki kwenye yale magoli.
Tsimikas na guu lake la shoto hawezi kucheza Nafasi ya TAA[emoji23] ....Bora acheze Babu MilnerKlopp anatakiwa amuweke TAA midfielder sasa niwakati wa Tsimikas kuchukua nafasi ya TAA
Milner tena! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tsimikas na guu lake la shoto hawezi kucheza Nafasi ya TAA[emoji23] ....Bora acheze Babu Milner
Jamaa Yuko faster Sana kuelekea langoni kwa wapinzani japo Hana bahati kivile kwenye shabaha ila ni hatari Sana. Wachambuzi na mashabiki uchwara wanambeza Tu sababu wanalitegemea pakubwaNunez total nadhani atakua na 15 sasa. Msimu wake wa kwanza Liverpool na msimu wake wa kwanza Benfica (alifunga 14 hivi) hauna tofauti kufunga magoli.. Alivyohojiwa alisema msimu ujao ndio tusubiri tuone ukali..msimu wake wa pili Benfica alifunga 34
In Nunez i trust.
YNWA
Sasa Mkuu nitafutie timu yoyote Epl ambayo ina full beki wa Kulia anayetumia guu la mashoto ukipata niite panya[emoji23]Milner tena! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanafaa kuwa Sub sio kuanza Ila Wana impact kidogo hasa kutuliza mashambulizi kipindi tumetangulia kimatokeo.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hawana uspecio wowote mbali Klopp ni muoga wa maamuzi magumu wakati sahihi.
Kama wiki hivi Pep wakati anahojiwa alisema kwa mfumo wa sasa Kyle Walker hawezi kupata spot 1st 11 kwa kua wanacheza mfumo ambao ha fit kabisa... Hua napenda sana ku compare Manchester City na Liverpool maana wale ndio washindane wetu tangu ametua Klopp.... Inaonyesha kwamba sii ubora wa mchezaji mbali ni ana offer uwanjani kinachoangaliwa.. Sasa Milner na Henderson wana maajabu yapi mpaka sasa wanapata dakika kwa kweli ni Klopp tu anajua...
YNWA
Pia inategemea...kuleta wachezaji wengi wageni kwenye mfumo au ligi Mpya tena kwa mkupuo mmoja ni changamoto itawahitaji mda mpaka wanate na biti kumbuka kilichowatokea Fulham kipindi wanashuka daraja kabla ya kupanda Msimu uliopitaTutapiga wachakae…!!!
Kina Molde sijui Basel, Sporting CP…!!
Klopp mbishi haswa jeuri mno.
Kwanza wanaomaliza mkataba hata asijiumize kichwa. WAONDOKE.
Arudi apambane na wenye mikataba ila hawana cha kuoffer tena wauzwe au mkopo.
Kisha arudi alete watu wa kazi,. Tena ajue depth with quality ina raha sana.
YNWA
ila jamaa akiwa anatembea na boli akitaitiwa kidogo anapoteana ana weakness kwenye dribbling....ajitahidi mazoezini awe kama Gakpo au Nunez kidogo.Jota man of the match...so far
Unamanisha Henderson na Milner au.Wanafaa kuwa Sub sio kuanza Ila Wana impact kidogo hasa kutuliza mashambulizi kipindi tumetangulia kimatokeo.
Yamewakuta Nottingham Forest msimu huu na Chelsea nao limewakuta...Pia inategemea...kuleta wachezaji wengi wageni kwenye mfumo au ligi Mpya tena kwa mkupuo mmoja ni changamoto itawahitaji mda mpaka wanate na biti kumbuka kilichowatokea Fulham kipindi wanashuka daraja kabla ya kupanda Msimu uliopita
Klopp alishasema with Nunez its all good na hilo linatosha kabisa. Msimu huu kwake tangu ile kadi nyekudu vs Crystal Palace ilim mvuruga lakini anafanya yote mazuri kasoro kufunga tu ndio stat zake zinaonyesha yupo kwenye nafasi ya 90+ Europe kwenye converting ratio sasa Klopp kazi kwake dogo aanze kuleta magoliJamaa Yuko faster Sana kuelekea langoni kwa wapinzani japo Hana bahati kivile kwenye shabaha ila ni hatari Sana. Wachambuzi na mashabiki uchwara wanambeza Tu sababu wanalitegemea pakubwa