The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Pia inategemea...kuleta wachezaji wengi wageni kwenye mfumo au ligi Mpya tena kwa mkupuo mmoja ni changamoto itawahitaji mda mpaka wanate na biti kumbuka kilichowatokea Fulham kipindi wanashuka daraja kabla ya kupanda Msimu uliopita
Wameyataka wenyewe FSG na Klopp. Ki uhalisia kikosi kinahitaji watu wengi sijui watatumia mbinu gani ni juu yao.
Ila mpira una maajabu yake, Ole alimsajili Bruno January 2020, akabadili upepo wao kabisaaa wakasha moto. Hivyo twaweza kusajili 2-3 na timu ikabata balance nzuri na baadhi ya deadwoods wakashine sana.
Naamini bado kwa Klopp na jopo lake coming season tutafanya vizuri sana. Kuwa na Klopp ni faida kubwa sana hata timu ikifanya vibaya. Ni rahisi quality player kusign LFC under Klopp iliyomaliza nafasi ya nane kuliko Newcastle or Spurs aliyemaliza top four.
YNWA




NEW: Barcelona are reportedly watching Trent Alexander-Arnold. #lfc [fichajes]