Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230417_232700.jpg


Rice ni Henderson aliechangamka ila sasa mbona kama anatufaaa😂😂😂 haya sasa Klopp dogo huyo hapo chap wai kwa mzee Moyes

YNWA
 
Klopp hua mbishi sana…!!!
Mpaka wamnyofoe nyofoe kucha ndipo akili ifunguke.

Klopp kwa upande wa TAA kucheza beki akubali amefeli kwa sasa. Na imemgharimu pakubwa tu.

Weka TAA acheze kiungo hapo atakupa vingi sana.

Kwa mara ya kwanza baada ya kitambo kwenye mechi mbili mfululizo tuna assists kutoka kwa viungo.

Game vs Arsenal Hendo.
Game vs Leeds Hendo ([emoji28] lekapiteno) Jones & TAA (as inverted Mf)…!!!

Klopp shikilia hapo tumalize in style, japo umetukausha damu na kutuharibu viungo vya uzazi msimu huu…!!’
 
Hao madogo wa Europa waombe tu tusiende huko wataumia vibaya Sana

Tutapiga wachakae…!!!
Kina Molde sijui Basel, Sporting CP…!!

Klopp mbishi haswa jeuri mno.

Kwanza wanaomaliza mkataba hata asijiumize kichwa. WAONDOKE.

Arudi apambane na wenye mikataba ila hawana cha kuoffer tena wauzwe au mkopo.

Kisha arudi alete watu wa kazi,. Tena ajue depth with quality ina raha sana.

YNWA
 
Huyu babu anaboa sana unavyosikia eti Matip anabaki kikosini na Milner pia na Henderson pia like serious wa nini hao sasa.

YNWA
Dah! Anaboa sana huwezi mbakiza Milner, Hendo na Matip wote hao walitakiwa kuondoka, dirisha la usajili likifunguliwa unaweza shangaa klopp akasajili Midfielder mmoja tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akitegemea kuwa usajili wa Milner na Hendo unatosha kwa kuwaongezea mikataba mipya na hawa wachezaji sijui wana kitu gani special [emoji23]
 
Dah! Anaboa sana huwezi mbakiza Milner, Hendo na Matip wote hao walitakiwa kuondoka, dirisha la usajili likifunguliwa unaweza shangaa klopp akasajili Midfielder mmoja tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akitegemea kuwa usajili wa Milner na Hendo unatosha kwa kuwaongezea mikataba mipya na hawa wachezaji sijui wana kitu gani special [emoji23]
😂 😂 😂 😂 😂 Hawana uspecio wowote mbali Klopp ni muoga wa maamuzi magumu wakati sahihi.

Kama wiki hivi Pep wakati anahojiwa alisema kwa mfumo wa sasa Kyle Walker hawezi kupata spot 1st 11 kwa kua wanacheza mfumo ambao ha fit kabisa... Hua napenda sana ku compare Manchester City na Liverpool maana wale ndio washindane wetu tangu ametua Klopp.... Inaonyesha kwamba sii ubora wa mchezaji mbali ni ana offer uwanjani kinachoangaliwa.. Sasa Milner na Henderson wana maajabu yapi mpaka sasa wanapata dakika kwa kweli ni Klopp tu anajua...

YNWA
 
Nunez 8 goals
Havetz 7 goals
Gapko 4 goals
Felix 2 goals
Nunez total nadhani atakua na 15 sasa. Msimu wake wa kwanza Liverpool na msimu wake wa kwanza Benfica (alifunga 14 hivi) hauna tofauti kufunga magoli.. Alivyohojiwa alisema msimu ujao ndio tusubiri tuone ukali..msimu wake wa pili Benfica alifunga 34

In Nunez i trust.

YNWA
 
Klopp hua mbishi sana…!!!
Mpaka wamnyofoe nyofoe kucha ndipo akili ifunguke.

Klopp kwa upande wa TAA kucheza beki akubali amefeli kwa sasa. Na imemgharimu pakubwa tu.

Weka TAA acheze kiungo hapo atakupa vingi sana.

Kwa mara ya kwanza baada ya kitambo kwenye mechi mbili mfululizo tuna assists kutoka kwa viungo.

Game vs Arsenal Hendo.
Game vs Leeds Hendo ([emoji28] lekapiteno) Jones & TAA (as inverted Mf)…!!!

Klopp shikilia hapo tumalize in style, japo umetukausha damu na kutuharibu viungo vya uzazi msimu huu…!!’
Baada ya kumkosa Bellingham tuna usajili mpya MF pale kati kulia dogo Trent A A... Jana 'kagusa' mpira mara 156 upande wa Leeds na hii mostly likely inaweza kua rekodi kwa msimu huu EPL. Huyu sasa anaanza kua mwananfunzi bora wa KDB.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom