Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Ox mtaalumu wa pasi za mwisho njoo utuokoe baba
Mm naonaTungemchukua huyu jamaa ingekua poa sana akave nafasi ya TAA ili TAA aende position ya Midfielder View attachment 2593647
Hata sisi kama tukiwatumia vizuriNaona kila dalili kuwa Pep Guardiola ataandika Historia Msimu huu wa kuwa Bingwa wa EPL (90%), UCL (60%), SUPERCUP (80%) na CLUB WORLD CUP (90%) akiwa na Man City.
Sasa rasmi Man City inaenda kuingia kwenye kundi la Timu kubwa![]()
Lampard huwa anashinda mechi kimoyo moyo kama ambavyo Milner huwa anakaba na kufunga kimoyo moyoLampard ni zaidi ya Maiti hata Championship hafai kupewa Timu
Real hizi hatua City hatoboi....na ndo kombe Madrid atalojivunia Msimu huu maana laliga alishapoteanaNaona kila dalili kuwa Pep Guardiola ataandika Historia Msimu huu wa kuwa Bingwa wa EPL (90%), UCL (60%), SUPERCUP (80%) na CLUB WORLD CUP (90%) akiwa na Man City.
Sasa rasmi Man City inaenda kuingia kwenye kundi la Timu kubwa![]()
Manyumbu unitedMm naona
Milner mitano tena
Henderson mitano tena
Ox mitano tena
Keita misita tena
VVD kisiki ukuta apewe mkataba wa maisha hawa bado wanatufaa ndio tuliochukua nao UEFA champions league
Bachelor ll upo timu gani😀maana comment zako mzee kila uzi unaponda
Nyumbu FC huyo mbona yupo waziBachelor ll upo timu ganimaana comment zako mzee kila uzi unaponda
Ivi wewe jamaa ni timu gani?🤣🤣Mm naona
Milner mitano tena
Henderson mitano tena
Ox mitano tena
Keita misita tena
VVD kisiki ukuta apewe mkataba wa maisha hawa bado wanatufaa ndio tuliochukua nao UEFA champions league
Fc bandari ya tanga na wazee fc ya ujijiBachelor ll upo timu ganimaana comment zako mzee kila uzi unaponda
Nakufahamu ni Liver Mzee sasa😁adi timu yako unasagia kunguniFc bandari ya tanga na wazee fc ya ujiji