Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tungemchukua huyu jamaa ingekua poa sana akave nafasi ya TAA ili TAA aende position ya Midfielder
Screenshot_20230420-060426.jpg
 
Naona kila dalili kuwa Pep Guardiola ataandika Historia Msimu huu wa kuwa Bingwa wa EPL (90%), UCL (60%), SUPERCUP (80%) na CLUB WORLD CUP (90%) akiwa na Man City.

Sasa rasmi Man City inaenda kuingia kwenye kundi la Timu kubwa 👏👏👏
 
Naona kila dalili kuwa Pep Guardiola ataandika Historia Msimu huu wa kuwa Bingwa wa EPL (90%), UCL (60%), SUPERCUP (80%) na CLUB WORLD CUP (90%) akiwa na Man City.

Sasa rasmi Man City inaenda kuingia kwenye kundi la Timu kubwa
Hata sisi kama tukiwatumia vizuri
Milner Ox, VVD na Henderson mwakani tutabeba makombe yote
 
Naona kila dalili kuwa Pep Guardiola ataandika Historia Msimu huu wa kuwa Bingwa wa EPL (90%), UCL (60%), SUPERCUP (80%) na CLUB WORLD CUP (90%) akiwa na Man City.

Sasa rasmi Man City inaenda kuingia kwenye kundi la Timu kubwa
Real hizi hatua City hatoboi....na ndo kombe Madrid atalojivunia Msimu huu maana laliga alishapoteana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom