Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Binafsi nafurahi kuikosa hiyo uefa, watapata hasara ambayo itawafungua akili ya biashara ya mpira inavyopelekwa na sio kusubiri maajabu.

But atleast Europe au conference ili tuwe na mechi nyingi…!!! Naamini hata bila CL Klopp ana mvuto wa kupata good signings

YNWA
Hivi kweli unaweza aje kununua wachezaji wawili wagonjwa ndani ya kikosi kwa miaka 6 yaaani Thiago na Keita.... Hawa ndio wametufikisha tulipo na si kingine ni luxury kua nao kikosini hawa maana walitegemewa kuleta spark kwa ma workaholic Henderson na Milner lakini imekua vice versa....

Sijawai na pengine sitokaa nielewa Klopp alitumia kipimo gani kumwachia Gini ever present kikosini na kumleta Thiago ambae hachezi mbali na wodini... Hiii ndio anguko la Klopp na FSG.. Gini wala hakutaka makuu alihitaji a bit of appreciation kwa kulipwa £140 kwa wiki na ile kazi kazi i would day that is peanut to pay. Same case na Mane.

Tukose kote hata huko Conference League 😂😂FSG bure kabisa.

Kwa sasa tuna kosa big game changers ambao ni Gini na Mane hawakua small talk boys mbali they delivered when it's mattered.. Klopp apambane sio tu kusajili mbali atazame pia attitude ya mchezaji towards important games... Tetesi Bellingham is of that mould.

YNWA
 
Sure still the best.
I used to say his seven year curse will at Liverpool as his Final curse ended at Liverpool.

Toward our todays match vs Leeds, Klopp said we have nothing to lose this season. We will give all what we have until the end of the season.
Akaulizwa kimetokea nini toka mshinde 7 kwa utd, simple answer from him (consistency) and there were things didnt work properly.
Next season might be Klopp last season at Liverpool, kama ataeledelea kung'ang'ania hawa wazee wake na mfumo wa 4 3 3 high line trust me hata hao wasajili wapya hawamuokoa kwa sababu Klopp ana kawaida ya kutowaamini new comers mpaka baadae sana kumbuka ya Fabinho alivyotua alisugua benchi haswa mpaka tukasahau kama yupo... Kwenye mpira early impression means everything aisee hivyo kama Klopp hatakua ruthless haswa kuhakiksha kila mchezaji anapata dakika kwa ubora wa output yake uwanjani sio bla bla za mhamashishaji basi Klopp anafukuzwa kazi mapema sana 2024...

Klopp is modern day Bill Shankly kwa fans he is like a god father of the club but just like Shankly kung'ang'ania wachezaji past thier prime will make him past tense at Liverpool... Shankly won very much with his boys they became men na bado akawa anakomaa nao kumbe they were past their prime in fact they could walk through the brick for Shankly and he resisted calls to be brutal and remained loyal kwa wachezaji wake and mwishowe he had to walk in come Bob Paisley the most dominant manger in Liverpool history hivyo Klopp asipokua makini atatembea tu hakuna namna he either change his vision regarding senior players game time or he has to walk.

YNWA
 
Ni mengi.

Kwa sasa article itakayoihusu Liverpool inafuatiliwa na wengi sana na ndio biashara ilipo.
Majority wanasubiri kuona ni nini Liverpool inakwenda kufanya sokoni.

Yes ishu ya Jude nimesikia ataamua kusubiri another season, ukizingatia msimu hajawa na msimu mzuri kama msimu jana.

Liverpool kujiondoa imekua pigo kwa dortmund maana ndio waliongoza race ya kumtaka.
Madrid na english players hawapo kabsaa hawana historia nao, sioni perez akishawishika kwa Jude. Sana sana City Chelsea na utd. Chelsea atabanwa na FFP, City anasubiri ile kesi yake itaamuliwa adhabu gani..!!! Utd (ETH) hawajavutiwa na Jude. Tuone nini kitaendelea.
Kama utd na city watamuwania basi ujue itafika £150m na mshahara usiopungua £350k.

FSG kununua sio issue kwao, ila mshahara ndio concern kubwa sana mabosi wale
Manchester City can buy anyone haha they have the best well paid lawyers to navigate the FFP...
Bellingham will end up at Manchester City wanamhitaji kum tame Haallad anaefuatiliwa na Real Madrid 2024 June hivyo Pep anajua kumtuliza na kumletea rafiki yake hapo hapo Ethad.

Kama Real wanamtaka like serious itakua most likely metrics za business endorsement nk kwa dogo zimekaa powa sana.

YNWA
 
JUST IN: Bayern will try everything to offload Sadio Mané in the summer. From a sporting point of view, Thomas Tuchel has no plans with Mané as he doesn't fit his system. The player is seen very critically internally'.

According to Bayern Signing Mané is considered a mistake, especially with his salary of more than €20m/year. Following his disappointing performances, there's a joke doing the rounds at Säbener Straße that Bayern signed Mané's twin brother, not the one from Liverpool. [Sky90]
 
[emoji599] EXCLUSIVE [emoji599]

Liverpool's Joel Matip remains appreciated by Jurgen Klopp and could STAY this summer [emoji837]

PLUS the latest on LFC links with Alexis Mac Allister and Ryan Gravenberch [emoji102]

Full story - Link in Comments [emoji116][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bobby where are you?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama nakuona unavyotaka kupasuka
Captain Marvelous
 
Siku nyingine tena ya mateso imefika.
20221009_183938.jpg
 
Next season might be Klopp last season at Liverpool, kama ataeledelea kung'ang'ania hawa wazee wake na mfumo wa 4 3 3 high line trust me hata hao wasajili wapya hawamuokoa kwa sababu Klopp ana kawaida ya kutowaamini new comers mpaka baadae sana kumbuka ya Fabinho alivyotua alisugua benchi haswa mpaka tukasahau kama yupo... Kwenye mpira early impression means everything aisee hivyo kama Klopp hatakua ruthless haswa kuhakiksha kila mchezaji anapata dakika kwa ubora wa output yake uwanjani sio bla bla za mhamashishaji basi Klopp anafukuzwa kazi mapema sana 2024...

Klopp is modern day Bill Shankly kwa fans he is like a god father of the club but just like Shankly kung'ang'ania wachezaji past thier prime will make him past tense at Liverpool... Shankly won very much with his boys they became men na bado akawa anakomaa nao kumbe they were past their prime in fact they could walk through the brick for Shankly and he resisted calls to be brutal and remained loyal kwa wachezaji wake and mwishowe he had to walk in come Bob Paisley the most dominant manger in Liverpool history hivyo Klopp asipokua makini atatembea tu hakuna namna he either change his vision regarding senior players game time or he has to walk.

YNWA
Leo unamchana Baba yako bila mbambamba [emoji23]
 
[emoji599] EXCLUSIVE [emoji599]

Liverpool's Joel Matip remains appreciated by Jurgen Klopp and could STAY this summer [emoji837]

PLUS the latest on LFC links with Alexis Mac Allister and Ryan Gravenberch [emoji102]

Full story - Link in Comments [emoji116][emoji116]
Wachezaji hawa kuwepo Liverpool ni kwa matakwa ya mwalimu lakini sio kwa juhudi zao uwanjani
Matip
Thiago
Jones
Ox
Kieta
Henderson
Milner
Gomez
Hao wote sio tena level ya Liverpool, utakua aje na kikosi kama hicho cha hao huku unakimbizana na Los Blonco au Citizens kwenye mataji muhimu na utegemee kutoka kifua mbele.

FSG failed big time walivyoanza utani na usajili baada ya kushinda UCL na kushinda EPL ilitakiwa pale pale wajenge kikosi cha kutawala kote kwa miaka 7 ijayo lakini wenyewe walivaa miwani na pop corn wakitegemea Klopp miracles as ever kumbe in Soccer timing is everything.. Na FSG are really poor at timely signing at Liverpool..

Msimu wa 2018/19 ndio msimu pekee angalau FSG walionyesha kweli they meant business. Tazama usaji wao.
1)Fabinho
2)Naby Keita
3)Xherdan Shaqiri
4)Alisson
Baada ya usajili huu tukashinda UCL kwa kishindo na pia competitive edge kikosini iliongezeka kwa hatua kubwa sana of course minus Kieta 😂😂. Huu usajili kipindi kile uligharimu £170m kama na mauzo yalikua kama £30m

Tazama baada ya kushinda UCL 2019 walinunua wafuatao na waligharimu klabu £8m huku klabu wakiuza zaidi ya £40m
WALIOSAJILIWA NI HAWA HAPA,2019/20
1)Sepp van den Berg
2)Harvey Elliott
3)Adrian
4)Andy Lonergan
5)Takumi Minamino
Je katika hio list hakuna MF hata mmoja mbali hawa ni squad players hawana maajabu.

Tazama usajili msimu wa 2020/21 baada ya kushinda EPL.
Waliosajiliwa ni
Diogo Jota
Thiago
Kostas Tsimikas
Marcelo Pitaluga
Ben Davies
Ozan Kabak mkopo

Ukitazama hapo utaona tangu 2018 wachezaji wawili tu wa kiungo AM ndio waliosajiliwa na ni Thiago na Kieta tu ambao walikua walete new ideas lakini wameshindwa kabisa kutokana ni majeruhi kwa kua mfumo wa Klopp gegenpressing ni very demanding kwa weak bones hawawezi kutoboa kamwe.

FSG walishindwa kupokea ubingwa wa Uefa na EPL kama nguzo safi kujenga kikosi kwa usajili sahihi wakat sahihi

Tuna safari ndefu sana. Tutafika tukiwa hoi sana.

Tazama Manchester City baada ya kukosa ubingwa 2019 /20 walisajili wafuatao
1) Rodri
2) Cancelo
3)nk nk nk
Sasa katazame impact ya hawa wachezaji wawili kikosini Ethad tangu wametua in terms of output... Rodri is ever present covering the HM role efficiently... Hii ndio inaitwa smart buying.

YNWA
 
Next season might be Klopp last season at Liverpool, kama ataeledelea kung'ang'ania hawa wazee wake na mfumo wa 4 3 3 high line trust me hata hao wasajili wapya hawamuokoa kwa sababu Klopp ana kawaida ya kutowaamini new comers mpaka baadae sana kumbuka ya Fabinho alivyotua alisugua benchi haswa mpaka tukasahau kama yupo... Kwenye mpira early impression means everything aisee hivyo kama Klopp hatakua ruthless haswa kuhakiksha kila mchezaji anapata dakika kwa ubora wa output yake uwanjani sio bla bla za mhamashishaji basi Klopp anafukuzwa kazi mapema sana 2024...

Klopp is modern day Bill Shankly kwa fans he is like a god father of the club but just like Shankly kung'ang'ania wachezaji past thier prime will make him past tense at Liverpool... Shankly won very much with his boys they became men na bado akawa anakomaa nao kumbe they were past their prime in fact they could walk through the brick for Shankly and he resisted calls to be brutal and remained loyal kwa wachezaji wake and mwishowe he had to walk in come Bob Paisley the most dominant manger in Liverpool history hivyo Klopp asipokua makini atatembea tu hakuna namna he either change his vision regarding senior players game time or he has to walk.

YNWA
Leo umemsagia klopp kunguni
 
Huyu babu anaboa sana unavyosikia eti Matip anabaki kikosini na Milner pia na Henderson pia like serious wa nini hao sasa.
Klopp kibarua kimemshinda aisee yaani tutabakia na Matip pancha na Milner babu tena msimu ujao like serious.

YNWA


YNWA
Ni wewe kweli?? 😂😂😂
Si tulisema humu Klopp out mkasema No!
In Klopp we believe

Na sisi tukaunga mkono hoja
Klopp mitano✊ tena.

Leo Bobby umepatwa na Nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom