Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe na jezi unatupia kabisa haha kweli wewe ni Red army inside outside... Safiii sanaaa.

Next season kama Julian atawapata hawa wachezaji wanaotajwa basi tutakua salama.

YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndani nje[emoji38]


Ngoja tuone msimu ujao
 
Hawa kua Liverpool mpaka leo ni ngumu kuelewa
Matip sorry Saint haha yes Matip
Gomez
Keita
Ox
Melo.

Iko hivi Klopp ni muumin wa kikosi kiduchu fulani meaninga lazima awe na wapambanaji haswa kila nafasi wawe wachezaji wawili ili kupata ufanisi uwanjani lakini je mara ngapi tumekosa ubingwa kwa kua waliumia hao na hakukua na mbadala haya mambo Klopp akistaafu itabid aje kufunguka tu maana ni ngumu kuelewa.

YNWA
Matip wangu mtoe jamani [emoji23]
 
Ishu ya EPL moja ndani ya miaka 8 haiwezi kua justified kamwe regardless ya ubahiri wa wa wamiliki kwa kua Klopp alishajiona ni mtenda miujiza wao... Asikwambie mtu pale Manchester City kuna Director of Football bwana Txiki Begiristain huyu bwana hutokaa usikie hata ma pundits wakimtaja wao wanakomaa na Kipara Pep sifa zote kwake lakini tuseme ukweli kwa data proven huyu director ni level zingine ana network pana kwa kua alifanya kazi hio hio Barcelona kwa miaka 7 inampa pool ya taarifa ambazo chini yake sasa Manchester City wameshinda EPL mara 5 huku ukitazama hata bei za wachezaji wengi zikiwa sio kubwa ki vile na mara chace sana wamekua waking'ang'ania wachezaji wengi baada ya kutumikia klabu wameachiwa kwenda kucheza kwingine na wao kusajili upya ili ku maintain high standards.....

Sasa ndugu huku Liverpool Klopp ndio kwanza anampa Milner mkataba mwingine mpya, na ukumbuke Milner huyu huyu alitemwa Manchester City baada ya wao ku evolve kama team ila kwetu tunaona ana mchango klabuni like serious no way.

Mpaka leo kua na Henderson na Milner inaonyesha Klopp yuko weak sana mbele ya hawa senior players... Tetesi ni kwamba idara ya usajili na mikataba hawaku sapoti wachezaji wanaoelekea upande wa pili wa miaka 30 kupewa mikataba mirefu lakini hawakusikilizwa na Klopp akatoa go ahead wapewe mikataba mirefu ajabu.
Allison yupo mpaka 2027 atakua 34
Henderson mpaka 2025 atakua 34
VVD yupo mpaka 2025 atakua 33
Fabinho yupo mpaka 2026 atakua 31
Robertson mpaka 2026 atakua 34
Matip yupo mpaka 2024 atakua 32
Salah yupo mpaka 2025 atakua 32
Thiago yupo mpaka 2024 atakua 33

Hao wote ni wachezaji waadamizi ambao wakiwa wazima hakuna kukaa benchi chini ya Klopp na mpaka sasa Klopp amechemka namna bora ya kusajili ili ku maintain competitive edge kwenye ligi na mashidano mengine yeye ameishi kwa kopi na ku pasti na ndio tupo hapa wachezaji wale wale wapo clueless kabisa kwa kua wamechoka nao ni binadamu fresh and blood...

Liverpool tujifunze kutoka kwa Manchester City wanavyosajili wachezaji wao na bila shaka Klopp ataona kabisa kua hii EPL moja ni yeye amechangia.

Amekaa misimu miwili anamsaubira Bellingham haha sasa huyoo hatuwezi hizo levo kwani FSG ni simpo kama ulivuoona kwa Nunez walitoa ela kiduchu na Klopp akashindwa kusajili MF June 2022 hivyo sasa ingekua tena aje Bellingham kwa £100+ na bajeti ingekua imeishia pale pale.

YNWA
Hii timu inawajari wakongwe wake

FSG kikosi kilichopo kinatosha
 
Haya kila la heri lakini bado mna safari ngumu maana jana nilijua mnazoa kapu la magoli toka kwa stoke lakini wapi mkahangaika nao na hatimaye kugawana point na timu iliyo karibu na mkiani. Mkiendelea kujikanyagakanyaga namna hii basi lolote linaweza kutokea na kuishia nafasi ya pili au hata ya tatu. Najua leo mtasali sana ili MANU na Chelsea watoke draw.
Safari ni ngumu saana kwa kweli lkn kwa kuwa Milner yupo hatuna wasiwasi
 
Kosa KUBWA Benitez aliyofanya ni kuanzisha vita Maneno na SAF..Kwa wanaojua historia ya Babu ni mashahidi pia... ni Mourihno tu at least alimuweza...Guyz forget about the title..yes i mean the title..Benitez kawasha moto ambao kamwe hatoweza kuuzima!

One Love One United..
Apia
 
I guess all eyes on us now! Since all the so called big five (including Aston Villa) have won, we ought to win on Monday as well. And we will.....hata kama mashabiki wa Manu na Chelsea mtakuwa bize kubana makorodani yenu....lol

Go Liverpool~
Kumbe kingereza humu kilianza zamani kipindi hicho Henderson anauwasha kwelikweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom