Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,556
- 235,330
Hata kama
He is home grown developed not a serial starter thus pay make sense.
YNWA
He is home grown developed not a serial starter thus pay make sense.
YNWA
Hivi mdogo wangu TAA analipwa sh ngapi?Welcome to FSG world of chums.
😂 😂 😂 😂
YNWA
Naona utakua umeweka kibanda kwao kumpa kampani Chugga man 😅😅😅Ukisikia timu ina stress kali basi ni hawa jamaa😆
Hahaha huyu home boy yupo kwenye £180k kwa wiki.Hivi mdogo wangu TAA analipwa sh ngapi?
Utulie bhana ndio mishahara yao hao mpaka atue timu awe chagua la kwanza angalau.Hata kama
This is unfair [emoji3064]Utulie bhana ndio mishahara yao hao mpaka atue timu awe chagua la kwanza angalau.
YNWA
Kumbe kanakwapua nyingi nyingiHahaha huyu home boy yupo kwenye £180k kwa wiki.
Maisha bhana ni full luck aisee mwamba Arthur Melo analipwa £110 kwa wiki huku akiwa amecheza tu dakika 13 kama sikosei Liverpool tangu atue kwa dharura kutokea Juventus.. Dogo katalii but unlucky with his injuries.
YNWA
Life itself is unfair for some nwa haha
Nipo nacheka tuNaona utakua umeweka kibanda kwao kumpa kampani Chugga man [emoji28][emoji28][emoji28]
YNWA
[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Life itself is unfair for some nwa haha
YNWA
🙃 🙃 🙃 🙃 🙃 Ndio anakula hizo aisee na hata klabu ilivyotaka kukatisha mkopo wake hawakutaka kusikia hilo sio wakala, Juventus...Kumbe kanakwapua nyingi nyingi
Huyo ndugu yake na Maxence Melo hata sura yake tu sijaikariri, achilia mbali kumuona uwanjani akiwa na timu yetu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nani anataka kukatisha ulaji[emoji38][emoji854] [emoji854] [emoji854] [emoji854] [emoji854] Ndio anakula hizo aisee na hata klabu ilivyotaka kukatisha mkopo wake hawakutaka kusikia hilo sio wakala, Juventus...
YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wapambane na home boy wao Lampard wamalize Ligi aafu June wapate kuajiri kwa utulivu mwalimu mwenye cv inayoedana na kikosi na mwenye maono ya kueleweka.Nipo nacheka tu
Wanatafuta tu wa kumtupia lawama
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wanasema bora Potter[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapambane na home boy wao Lampard wamalize Ligi aafu June wapate kuajiri kwa utulivu mwalimu mwenye cv inayoedana na kikosi na mwenye maono ya kueleweka.
YNWA
Hahaha huyu dogo ana bahati sana tazama..Nani anataka kukatisha ulaji[emoji38]
Hata ningekuwa mm ningekataa.
Good morning Bobby.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
In life watch what you wish for. Walimtoa teja Thomas Tuchel kwa bwebwe na sasa wapo pambaya zaidi...Wanasema bora Potter
Kuwaelewa Chelsea yahitaji moyo sana.
Sasahivi wamekatoa ka Kepa kuwa kambuzi ka kafara.
Wapo kwenye mazungumzo na Mwalimu kutoka Ureno.
Hakuna picha hawataona safari hii.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Klopp atakua alivuta bangi kwanza kabla ya kumsajiliHahaha huyu dogo ana bahati sana tazama..
Barcelona walimnunua kwa £30m hivi msimu wa 2018/2019 hakuwai kua na utulivu ni majereha hapa na pale, mwaka 2020 Juventus wakaingia kichwa kichwa kwa ada £60m akatua Turin nako trend ikawa ile ile mpaka pale Klopp alivyojitoa ufahamu kwenda dakika za mwisho kumchukua kwa mkopo. Ajabu ni kwamba historia yake ya majeruhi ipo well documented meaning kwa high intensity Liverpool way asingetoboa kamwe.
. He is one lucky boy.
YNWA
Ina maana walidhamiria kununua mgonjwa[emoji16]Hahaha huyu dogo ana bahati sana tazama..
Barcelona walimnunua kwa £30m hivi msimu wa 2018/2019 hakuwai kua na utulivu ni majereha hapa na pale, mwaka 2020 Juventus wakaingia kichwa kichwa kwa ada £60m akatua Turin nako trend ikawa ile ile mpaka pale Klopp alivyojitoa ufahamu kwenda dakika za mwisho kumchukua kwa mkopo. Ajabu ni kwamba historia yake ya majeruhi ipo well documented meaning kwa high intensity Liverpool way asingetoboa kamwe.
. He is one lucky boy.
YNWA
Na wanakoelekea ni hatari zaidi[emoji38]In life watch what you wish for. Walimtoa teja Thomas Tuchel kwa bwebwe na sasa wapo pambaya zaidi...
Good. Morning Miss Liverpool.
YNWA