Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,530
- 235,273
[emoji1787]Klopp atakua alivuta bangi kwanza kabla ya kumsajili
[emoji1787]Klopp atakua alivuta bangi kwanza kabla ya kumsajili
Nakumbaliana na wewe ndugu... Haya mambo ndio yamewachosha Edwards na Julian Ward na kuamua kusepa zao kwa kua wanaona maoni yao hayapewi kipaumbele.Klopp atakua alivuta bangi kwanza kabla ya kumsajili
😂 😂 😂 😂 Laana ya Mrusi inawatafuna aisee.Na wanakoelekea ni hatari zaidi[emoji38]
Wanataka wabadilishe tena kocha
Hata mechi 5 hajafikisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Twende kanisani Bobby.
Kwahiyo unakubali kuwa baba yako anavuta bangi?[emoji23]Nakumbaliana na wewe ndugu... Haya mambo ndio yamewachosha Edwards na Julian Ward na kuamua kusepa zao kwa kua wanaona maoni yao hayapewi kipaumbele.
Klopp alitonywa mapema sana kuhusu Enzo Fernadez akiwa Argentina kwao tena kwa bei powa kabisa chini ya [emoji387] 20 lakini klabu ikasema aachwe kwanza azoee mishe za Ulaya ndani ya miezi 6 dogo bei ikaripuka Klopp akajafanya kuwaomba Benfica wasimuuze sasa mpaka June 2023 haha akaambiwa toa ela acha maneno...
Huyu Melo alikuja September 2 hivi baada ya kuumia Henderson ndio wakaona hali ishakua tete na ni dhahiri kwamba haraka haraka haina baraka.
YNWA
😂 😂 😂 😂 Japo tunawasifu sana idara ya usajili kwa kumpa Klopp kikosi safi kwa miaka 5 kwa bajeti ya kuungaunga lakini kuna sehemu zingine naona wanafeli aidha watakua wanaingiliwa kwenye maamuzi au wana upofu wakati mwingine. Kimsingi Melo na Ox hawakutakiwa watue Liverpool kamwe kwa kua mfumo wa Klopp sio weak bones sababu ya attacking aa u unit na defending as a unit meaning mwili lazima uwe over worked haswa. Case study watazame VVD ametoka jeraha la msimu mzima akaja akapiga mechi zaidi ya 60 msimu uliopita weka msimu huu na kombe la dunia humo humo aaa lazima yamkute kwa kua Liverpool defence bi dynamic high line hivyo utaona kwa nni ni muhimu kununua wachezaji kama VVD wasiokua na mili ya Indian biscuit.Ina maana walidhamiria kununua mgonjwa[emoji16]
Kweli bahati huwa kwa kila mtu
"Pray for Liverpool"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Laana ya Mrusi inawatafuna aisee.
Wakaongee nae yaishe vinginevyo hii itaedelea tu [emoji23][emoji23]atakua katuma majini pale si bure.
Asante pray for Liverpool.
YNWA
Hakosi yule 😂😂😂asa unamsajili Kabak mara Melo like serious hizo sio bangee.Kwahiyo unakubali kuwa baba yako anavuta bangi?[emoji23]
Kwahiyo hapa unamaanisha ndugu zetu Chamberlain na Boss Melo miili yao ni Indian biscuits tupu[emoji38][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Japo tunawasifu sana idara ya usajili kwa kumpa Klopp kikosi safi kwa miaka 5 kwa bajeti ya kuungaunga lakini kuna sehemu zingine naona wanafeli aidha watakua wanaingiliwa kwenye maamuzi au wana upofu wakati mwingine. Kimsingi Melo na Ox hawakutakiwa watue Liverpool kamwe kwa kua mfumo wa Klopp sio weak bones sababu ya attacking aa u unit na defending as a unit meaning mwili lazima uwe over worked haswa. Case study watazame VVD ametoka jeraha la msimu mzima akaja akapiga mechi zaidi ya 60 msimu uliopita weka msimu huu na kombe la dunia humo humo aaa lazima yamkute kwa kua Liverpool defence bi dynamic high line hivyo utaona kwa nni ni muhimu kununua wachezaji kama VVD wasiokua na mili ya Indian biscuit.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakosi yule [emoji23][emoji23][emoji23]asa unamsajili Kabak mara Melo like serious hizo sio bangee.
YNWA
😂 😂 😂 😂 Unataka yatukute ya Chelsea haha ukumbuke wao kikosi kipo kamili sie tupo sokoni kuvutia wachezaji waje tukamilike."Pray for Liverpool"
Nimecheka [emoji38]
Hawa kua Liverpool mpaka leo ni ngumu kuelewaKwahiyo hapa unamaanisha ndugu zetu Chamberlain na Boss Melo miili yao ni Indian biscuits tupu[emoji38]
😂 😂 😂 😂 Aliwai kumpanga Henderson acheze RB hapo ndio nilijua we are deep shit na huyu mzee miwani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi ni kweli jamaa anapulizaga Jani?
Ngoja aje kaka mkubwa MosDef atujibu.
This comment has made my morning 😆😂😂 😂 😂 😂 Unataka yatukute ya Chelsea haha ukumbuke wao kikosi kipo kamili sie tupo sokoni kuvutia wachezaji waje tukamilike.
We need prayers comrade.
YNWA
Anatudhalilisha wavaa miwani😆😂 😂 😂 😂 Aliwai kumpanga Henderson acheze RB hapo ndio nilijua we are deep shit na huyu mzee miwani.
YNWA
Mipango ya klopp anaijua mwenyewe, mimi aliniboa sana kipindi kile kaacha kununua mid eti wakanunua Keita kisha kumsubiri msimu mwingine tena pesa ndefu, klopp yupo tayari ku sarcifice misimu hata miwili kwa ajili ya mchezaji mmoja, thats why 1epl in 8 yrs.Nakumbaliana na wewe ndugu... Haya mambo ndio yamewachosha Edwards na Julian Ward na kuamua kusepa zao kwa kua wanaona maoni yao hayapewi kipaumbele.
Klopp alitonywa mapema sana kuhusu Enzo Fernadez akiwa Argentina kwao tena kwa bei powa kabisa chini ya [emoji387] 20 lakini klabu ikasema aachwe kwanza azoee mishe za Ulaya ndani ya miezi 6 dogo bei ikaripuka Klopp akajafanya kuwaomba Benfica wasimuuze sasa mpaka June 2023 haha akaambiwa toa ela acha maneno...
Huyu Melo alikuja September 2 hivi baada ya kuumia Henderson ndio wakaona hali ishakua tete na ni dhahiri kwamba haraka haraka haina baraka.
YNWA
Ishu ya EPL moja ndani ya miaka 8 haiwezi kua justified kamwe regardless ya ubahiri wa wa wamiliki kwa kua Klopp alishajiona ni mtenda miujiza wao... Asikwambie mtu pale Manchester City kuna Director of Football bwana Txiki Begiristain huyu bwana hutokaa usikie hata ma pundits wakimtaja wao wanakomaa na Kipara Pep sifa zote kwake lakini tuseme ukweli kwa data proven huyu director ni level zingine ana network pana kwa kua alifanya kazi hio hio Barcelona kwa miaka 7 inampa pool ya taarifa ambazo chini yake sasa Manchester City wameshinda EPL mara 5 huku ukitazama hata bei za wachezaji wengi zikiwa sio kubwa ki vile na mara chace sana wamekua waking'ang'ania wachezaji wengi baada ya kutumikia klabu wameachiwa kwenda kucheza kwingine na wao kusajili upya ili ku maintain high standards.....Mipango ya klopp anaijua mwenyewe, mimi aliniboa sana kipindi kile kaacha kununua mid eti wakanunua Keita kisha kumsubiri msimu mwingine tena pesa ndefu, klopp yupo tayari ku sarcifice misimu hata miwili kwa ajili ya mchezaji mmoja, thats why 1epl in 8 yrs.
Hapo alitaka apoteze misimu hata miwili kubaki na milner na henderson kwa ajili ya Enzo
Bahati mbaya ile Magic yake imeisha hata kiburi cha kushiriki UEFA kimekata sasa
😂 😂 😂 Huyu mzee ukiwa na hasira nae unaweza pasua TV yako ujue.Anatudhalilisha wavaa miwani😆
😂😂😂😂😂Kumbe na jezi unatupia kabisa haha kweli wewe ni Red army inside outside... Safiii sanaaa.This comment has made my morning 😆😂
Let me take a bath and go to church
I think I should wear our jersey , if God sees it then He will answer our prayers.
Tutarudi kwa kishindo kama awamu ya 5😆