Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,128
- 4,859
Ndio lakini ushindi leo ni kipaumbele cha kwanza.Wazo zuri sana
YNWA
Ndio lakini ushindi leo ni kipaumbele cha kwanza.Wazo zuri sana
Mkuu unamaanisha Dirk Kuyt aliyekuwa Liverpool enzi hizo?Nimemkumbuka dirty kuyt
Ndio Yule mdachi adui yake na RiseMkuu unamaanisha Dirk Kuyt aliyekuwa Liverpool enzi hizo?
Hakuna rangi hawataona leo wale wahuni
Klopp for life.Miss Liverpool mpaka unaona kwa nini nasimama na Klopp wakati wote... Chelsea wamesajili haswa yaaani haswa lakini je uwanjani matokeo unaona yanavyo wapa presha kwa kua hali ni tete...
Tazama Everton wametoa ela ndefu kwenye usajili tangu aje mmiliki wao mpya lakini je uwanjani kuko aje..
Tazama Westham wametoa pesa za maana za usajili lakini je uwanjani matokeo.
Lakini Klopp na ela za "mboga" hua anafanya vyema.
YNWA
Natamani mechi ya vile ijirudie jamani😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hivi kale kamsemo ka kila mmoja ashinde mechi zake niaje tena leo🤠🤠
Kwa Liverpool hii ndugu labda Arsenal waje kama Manchester United wakati anakula 7.
YNWA
Nyie watu mnatuconfuse 🤣🤣Guys. Arsenal na Liverpool sote tunataka kitu kimoja. Yaani Arsenal achukue ubingwa. Hivyo basi Leo msikaze saaaanaa. Kuwapiga Mbili bila au mbili moja tu kwetu inatosha Kwa heshima
Mnataka tuwasaidie kumshusha Arse8 kwenye chat😂Msituangushe..anfield ni pahala patakatifu.
Nyie watu mnatuconfuse 🤣🤣
City eti wapo upande wetu😂😂😂😂
Arse8 mnachochea undugu tuwahurumie.
Ila binafsi natamani Arse8 abebe ndoo..
Mkitufunga si mbaya.
Sitaki City achukue asee tumemchoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi ni ndugu ingawa sometimes mnatuangusha nyie. Siku tuliwatuma mkawapige Manyumbu mkawapiga haswaa. Siku ingine tukawatuma mkawapige City mkawahurumia. Sasa leo tunakuja sisi wenyewe...jamani ndugu tujengeni madaraja na si kuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila tulivyo wabovu,mtatufunga tu.
Arse8 atwae ubingwa mwaka huu.
Mkuu msimu huu Arsenal NDOONyie watu mnatuconfuse [emoji1787][emoji1787]
City eti wapo upande wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arse8 mnachochea undugu tuwahurumie.
Ila binafsi natamani Arse8 abebe ndoo..
Mkitufunga si mbaya.
Sitaki City achukue asee tumemchoka.
Arse 8 EPL ni yakeMkuu msimu huu Arsenal NDOO
achana na nyumbu na hao manpisi kali
Nope mi Bora abebe tu city [emoji52]Nyie watu mnatuconfuse [emoji1787][emoji1787]
City eti wapo upande wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arse8 mnachochea undugu tuwahurumie.
Ila binafsi natamani Arse8 abebe ndoo..
Mkitufunga si mbaya.
Sitaki City achukue asee tumemchoka.