Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hata muwe wabovu vipi, pale anfield arsenyani arsenyau hawezi kuondoka na point hata za kuazima tu.
Nasema uongo Captain Marvelous ?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hivi kale kamsemo ka kila mmoja ashinde mechi zake niaje tena leo🤠🤠

Kwa Liverpool hii ndugu labda Arsenal waje kama Manchester United wakati anakula 7.

YNWA
 
Wapo kumtukana Lampard huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miss Liverpool mpaka unaona kwa nini nasimama na Klopp wakati wote... Chelsea wamesajili haswa yaaani haswa lakini je uwanjani matokeo unaona yanavyo wapa presha kwa kua hali ni tete...

Tazama Everton wametoa ela ndefu kwenye usajili tangu aje mmiliki wao mpya lakini je uwanjani kuko aje..

Tazama Westham wametoa pesa za maana za usajili lakini je uwanjani matokeo.

Lakini Klopp na ela za "mboga" hua anafanya vyema.

YNWA
 
Msimu huu iwe jua iwe mvua naunga mkono 100% Arsenal awe BINGWA. The reason behind Mimi ni mnazi mkubwa sana wa Arteta but nasikitika kusema leo tutawafunga Arsenal.
Mtatufungaje wewe Ngwaba? Tunakuja chukua point zetu hapo.
 
Hivi kale kamsemo ka kila mmoja ashinde mechi zake niaje tena leo

Kwa Liverpool hii ndugu labda Arsenal waje kama Manchester United wakati anakula 7.

YNWA
Kuhusu kila mtu ashinde mechi zake wala sio shida ndio maana jana tumetoa kichapo.
Arsenal tuna mechi nae ambayo tutampiga pia wala haina ubishi, zitabaki point 2 (kiporo tutashinda pia) hapo tunakua tumesha play part yetu.
Hizo point 2 tunahitaji msaada nje ya etihad na msaada huo unaanza leo.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom