Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Manyumbu yalidhani nyie ni wabovu wakaingia kichwa kichwa wakapokea za uso kudadadeki. Leo Lazima tuwe makini
Wale wahuni sijui walikuwa wanawaza Nini[emoji1787]
JamiiForums-2067078115.jpg
 
Nyie watu mnatuconfuse
City eti wapo upande wetu.
Arse8 mnachochea undugu tuwahurumie.


Ila binafsi natamani Arse8 abebe ndoo..
Mkitufunga si mbaya.
Sitaki City achukue asee tumemchoka.
Liva leo anashinda na city ndio bingwa wako utake usitake.

YNWA
 
Guys. Arsenal na Liverpool sote tunataka kitu kimoja. Yaani Arsenal achukue ubingwa. Hivyo basi Leo msikaze saaaanaa. Kuwapiga Mbili bila au mbili moja tu kwetu inatosha Kwa heshima
Acha kudanganya wenzio eti mnataka kitu kimoja.
Wao wanataka kwenda europa wewe unaleta habari za ubingwa?!!

#YNWA
 
Atmoshphere ya anfield ni ya tofauti sana, vibe la mashabiki ni la kustaajabisha,kwa hakika leo inawabidi mfufue matumaini ya kucheza europa msimu ujao, na hiyo itawezekana kwa ushindi katika nyasi za nyumbani na si vinginevyo.

#YNWA
 
Atmoshphere ya anfield ni ya tofauti sana, vibe la mashabiki ni la kustaajabisha,kwa hakika leo inawabidi mfufue matumaini ya kucheza europa msimu ujao, na hiyo itawezekana kwa ushindi katika nyasi za nyumbani na si vinginevyo.

#YNWA
Leo unakesha huku ukisupport Liverpool ambao ni marafiki zetu wakubwa sisi Arsenal 😆😆😆
Hivi nyie hamjachoka vikombe vya EPL? Hivi karibuni mmevibeba mpaka hamjui pa kuviweka. Sisi tumesota mno jangwani acheni tupite na hiki kimoja
 
Atmoshphere ya anfield ni ya tofauti sana, vibe la mashabiki ni la kustaajabisha,kwa hakika leo inawabidi mfufue matumaini ya kucheza europa msimu ujao, na hiyo itawezekana kwa ushindi katika nyasi za nyumbani na si vinginevyo.

#YNWA
Toka lini ukatutakia mema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom