Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


We need 3 hard MFs, i think our attacking line ipo stacked, wanahitaji tu support ya MF.


£200m + sales ni very enough, though tungekuwa na new owners, ningesema £300m + sales, but kwa kuwa ni FSG lazima tuwe na expectations ndogo, maana ni rahisi sana hawa jamaa kutu-let down.
 

Palhinha is 28 (i believe), and Fulham will demand a lot of money, so kwa owners tulionao, we cant offord ku-move kwa hizi short term fixes ambazo zina-cost pesa nyingi

Fabinho is 29 now, na ameshatepeta kiasi chake, we got Fabinho at 24, 5 years later na yupo katika hali ile, 29 ni miaka ambayo alitakiwa kuwa kwenye his prime years, but again DM role under Klopp ni very demanding, umeona tu mwenyewe, Bajcetic (miaka 18), misuli imegoma baada ya kuchezeshwa mfululizo at DM, Palhinha is good but under Klopp na miaka aliyonayo, tunaweza kumtumia for 2 years tu, na sidhani kama FSG watakuwa tayari ku-fund another MF in 2 years time.

Profile, za ku-target now, should be below 24 years, as we are re-building kwaajili ya long-term.


I like the idea of Nunes, as namuona katika ile Gini role at LCM, he's a very good ball carrier, and being so good at that aspect, makes him a strong press-resistant and very good holder of the ball.
 
Chukua hiyo fursa bibie miwani si shida. Kipa wetu Manuela Zinsberger anavaa miwani pia. Contacts kwenye games.

Tatizo la soka la wanawake ulaya ni wanaendekeza sana mapenzi na kazi. Ukiwa mrembo teammates watakutokea na ni kawaida sana kukuta couples ndani ya timu. Ukiwa na maadili yetu ya kibongo sana unaweza ukakwazika.
 
Ngoja aje brother MosDef anipe connection.

Waafrica tulivyo wagumu hizo tabia za kijinga zinanipatia wapi ?
 
Kumbe wanatokea majumbani kwao,Nilidhani wanaishi kambini muda wote kama hostel[emoji16]
Basi hapo bata kama lote na ndoa zao.

Ila niliskia mchezaji akipiga mechi huko nyumbani,akienda kucheza mpira miguu inatetemeka ,vipi ni kweli?
Au ndio mambo hayo babu Milner anaelekeza madogo[emoji16].

Hiyo ya kugoma kucheza basi wachezaji ni wanafiki sana
Mule ndani wanaonyesha kupambana,kujituma, na mechi ikiisha nao wanaonyesha kuumia ukiwahoji.
Kumbe wanakuwa wanazuga.

Kwahiyo Milner kazi yake ndio kusawazisha hayo mambo,,Anajuaje sasa kama huyu anaunderperform kwa sababu ya manager?
 
FSG msiuze timu kwani ni mali yenu

Kwann mtumie kiasi kikubwa kusajiri kwani wachezaji wameleta kombe ?

Milner mitano tena ni muhamasishaji mzuri
Ila we jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna muda huwa natamani nikunase makofi [emoji23][emoji23]
 
Looks like Jude is heading to Man City.

All that ground-work, countless meetings with Mark Bellingham (his father), verbal agreements, etc, means nothing at the end.

FSG, kwa mara nyingine tena, wametu-let down, cant say i'm suprised.

Waited and wasted 2 years for Jude, for NOTHING, and oh! before we put blame on Klopp, sidhani kama angeamua kumsubiria Jude bila kuwa ASSURED na FSG.

As long as FSG, wataendelea kuwepo at LFC, hatutakuja kuwa a serious club again.
 
Tushamkosa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwa vvd sikupingi

Ni mchezaji wa kipumbavu Sana most of them hawana uchungu wale
 
Hii nimeisoma dogo Caiceido alipelekwa hawa jamaa kwa £4.5m wakasema pass ona sasa dogo alivyopanda value... Wakati mwingine hawa wenye maamuzi ya kusajili wakati mwingine hua wanishindwa kuona vipaji especially kwa hawa wachezaji wenye umri mdogo kama Caiceido nk

ETG akishapewa mpunga na kupunguza wale dead woods anaweza akafanya jambo... Wakati mwingine wala haihitajika kusajili wachezaji wengi mbali hata mmoja mchezaji kama Casmiro anaweza kuja na ushawishi kikosini na akabidili kabisa namna hali na kuleta ari mpya...

Uzuri hio June 2023 itafika tu tutaon niaje Ma Yankees wetu wamejiadaa kutuletea target za Klopp.

YNWA
 
If FSG wrote the extended cheques for Thiago then we can offer Palhinha a chance to make us better lol that Disney stuff bro... He is 28 not age liked by Gordon n crew but with bosses like FSG that bad business as the boy lack resale value in the near future. If Milner can still starting an away game at UCL portrays the main picture where we are as team in terms of recruitment and we are really poor guys behaved like we are immnue to age related decline of this great players..

Mpaka hapa Klopp haya mambo asahau kwa miaka kadhaa mpaka kuchoka atakua ame evolve na kikosi kinakua hakijachoka....

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…