Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hao bado watoto kwetu sisi tuna vitu vingi sana vya kupigia kelele wabebe kwanza hata Uefa ndo waje kuanza kupigishana mdomo na sisi.

Kiufupi sisi ni Bayern Munich ya mdomo huwezi shindana na sisi na huka shinda.
Hahaha na ndio maana Kipara akatua mapema sana kwa Halaand atue Ethad ili wasake hio UCL kwa nguvu zote mpaka kufanikisha ushindi kwenye hilo ni kwamba muda utasema.


YNWA
 
Nyie kuku leo mnaliwa ki-utamu utamu[emoji4]
IMG_20220817_183106.jpg
 
Sijui tuwafunge saba kama wale nyumbu😁
Ila leo matano yanatosha
Hayo ni matokeo hata ukiwauliza waliofunga watakwambia hata hao hawaamini huo ushindi ulipatikana kutoka kwa Manjesta kwa sababu baada ya kombe la dunia Manjesta ndio timu Ulaya yote ilikua kwenye form bora kabisa wakiongozwa na Rashford, lakini siku ile walichapwa na kitu kizito saba kichwani kiasi hawakuelewa wapo Anfield kwa mahasimu wao nambari moja pale UK.

YNWA
 
Hayo ni matokeo hata ukiwauliza waliofunga watakwambia hata hao hawaamini huo ushindi ulipatikana kutoka kwa Manjesta kwa sababu baada ya kombe la dunia Manjesta ndio timu Ulaya yote ilikua kwenye form bora kabisa wakiongozwa na Rashford, lakini siku ile walichapwa na kitu kizito saba kichwani kiasi hawakuelewa wapo Anfield kwa mahasimu wao nambari moja pale UK.

YNWA
[emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom