Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie ni wa kwetu tu, mutaenda mbele atua mbili mutarudi hatua tano nyuma 🤣🤣🤣
 
Ila jamaa amejua kuwanyoosha aisee


Chalii yangu kutoka kutamba majukwaani na kutuita matakataka

Sasahivi hata ile matakataka imepoteana
Mmekuwa matakataka wenyewe sasa
Dah acha tu yani saiv kama nimemwagiwa maji vile 😖😖😖
Sema tukirud aise mutatutambua..saiv adi jukwaa la arse8 na manjestaa aka manyumbuz nayapita kaa siyajui vile 😖😃😃😃
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom