HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Mimi niliona umeandika Kwa kujiamini sana kumbe ilikuwa unaropola tu 😄😄Aisee dah wakati mwngine unaropoka tu then kumbe kweli...NINGEWEKA MPUNGA CORRECT SCORE...DAAH![]()
Mimi niliona umeandika Kwa kujiamini sana kumbe ilikuwa unaropola tu 😄😄Aisee dah wakati mwngine unaropoka tu then kumbe kweli...NINGEWEKA MPUNGA CORRECT SCORE...DAAH![]()
Endeleeni na huyo jamaa wenu GPIyo ni ali ya kawaida timu kubwa kama sisi kushuka viwango, ila tunajenga kikosi cha dunia

I love you more wish you could be here baby girl milady


Saiv tunapigwa adi na maji maji ya songea🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani Check Noris au??
Yule kocha anapotupeleka aise atujui..itabidi tajiri akamuombe msamaha TuchelEndeleeni na huyo jamaa wenu GP
Anawapeleka maporomokoni
Timu likishika mkia ndo mtaelewa vizuri![]()
Ila jamaa amejua kuwanyoosha aiseeYule kocha anapotupeleka aise atujui..itabidi tajiri akamuombe msamaha Tuchel

Tukiwapa mechi na Ihefu ya Mbalari mbona mtachakazwa sanaSaiv tunapigwa adi na maji maji ya songea
I also wish to see you here by my side.
Do the needful please


....... I real miss youBless my night please....... I real miss you
We ollashoga mi nakutafuta kumbe upo huku?Nyie ni wa kwetu tu, mutaenda mbele atua mbili mutarudi hatua tano nyuma 🤣🤣🤣
Dah acha tu yani saiv kama nimemwagiwa maji vile 😖😖😖Ila jamaa amejua kuwanyoosha aisee
Chalii yangu kutoka kutamba majukwaani na kutuita matakataka
Sasahivi hata ile matakataka imepoteana
Mmekuwa matakataka wenyewe sasa![]()
Punguza makasiriko mkuu😀😀😀 jana usiku hujalipwa ela yako nini?!We ollashoga mi nakutafuta kumbe upo huku?
Kwani kila chelkenge ikinyooshwa wapinzani tunalipwa? Ollashoga hii habari ilinipitaPunguza makasiriko mkuu😀😀😀 jana usiku hujalipwa ela yako nini?!
Aha punguza makasiriko bana mimi sitaki kuanika ukweli wote apa 🤣🤣🤣Kwani kila chelkenge ikinyooshwa wapinzani tunalipwa? Ollashoga hii habari ilinipita
Dah yaani mshonwe nyinyi makasiriko niwe nayo mimi? 😂 Nikukute jukwaa lenuAha punguza makasiriko bana mimi sitaki kuanika ukweli wote apa 🤣🤣🤣
Ndio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂Dah yaani mshonwe nyinyi makasiriko niwe nayo mimi? 😂 Nikukute jukwaa lenu