BWANA WANGU
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 362
- 848
HUYU MWAMBA ANA MIAKA 28 LAKINI ANGETUFAA SANA SANA (Stanislav Lobotka) au nakosea wakuu.
Tushaanza kurudi kwa akina danny Murphy, joe cole na sinama pongoleHUYU MWAMBA ANA MIAKA 28 LAKINI ANGETUFAA SANA SANA (Stanislav Lobotka) au nakosea wakuu.
![]()
Tulikua wengi tumaonekana wasalitiTatizo la hii tim nililisema kabla ya msimu ya kwamba Salah akipewa anacho taka tusahau mafanikio tena aminini nawaambia
Tatizo ni mishara isio fata haki mkuu zingatia hilo mkuuTatizo siyo fsg
Tatizo ni aged team
Tulikumbatia sana brexit
Tia maji tia maji kama mwanamke wa ngomani
Klopp said no more January 2023 signing unless the Yankees have wired the money i don't see that happening.So we are searching for a last minute midfielder
Sijui anajilaumu maana alikotoka alikua Kapteni na magoli na ma assist ya ku mwaga alipata.Amekuja wakati timu imejichokea.
Unasemea ongezeko kubwa la mshahara wa Mo Salah eeh?Tatizo ni mishara isio fata haki mkuu zingatia hilo mkuu
Asenal wamejisafisha Man u wapo njiani kujitoa humo eti sisi ndo tunaingia
Haiwezekani kundi la watu lilete mafanikio hafu angaliwe mtu mmoja kua ndo sababu ya mafanikio.
Ndo wanaangalia sasa hayo mafanikio yalio letwa na huyooo mpekeee
Hamuwezi kuniamini najua
Japo Salah sio Messi au Ronaldo(business wise) lakini kibiashara pale Liverpool yupo juu sana anauzika zaidi ya wachezaji wengine hivyo analeta mpunga wa maana kwa timu. Kwa mfano mauzo ya jezi tu Salah peke yake anachangia asilimia 35 ya mauzo yote hivyo ingekua ni uzembe kumwachia Salah kuodoka Liverpool regardless matokeo uwanjani yapo vipi kwa sasa.Tatizo ni mishara isio fata haki mkuu zingatia hilo mkuu
Asenal wamejisafisha Man u wapo njiani kujitoa humo eti sisi ndo tunaingia
Haiwezekani kundi la watu lilete mafanikio hafu angaliwe mtu mmoja kua ndo sababu ya mafanikio.
Ndo wanaangalia sasa hayo mafanikio yalio letwa na huyooo mpekeee
Hamuwezi kuniamini najua
Kuna magendeheka ya kiingereza paleJapo Salah sio Messi au Ronaldo(business wise) lakini kibiashara pale Liverpool yupo juu sana anauzika zaidi ya wachezaji wengine hivyo analeta mpunga wa maana kwa timu. Kwa mfano mauzo ya jezi tu Salah peke yake anachangia asilimia 35 ya mauzo yote hivyo ingekua ni uzembe kumwachia Salah kuodoka Liverpool regardless matokeo uwanjani yapo vipi kwa sasa.
Ukifuatilia kwa kina utagundua kwamba mikataba mingi ya wachezaji Liverpool ipo capped kwenye incentives zaidi hivyo inakua win win situation kwa Liverpool na kwa mchezaji husika.. Utakuta kwa mfano Salah kila jezi inayouzika ana asilimia kadhaa pale inayoingia kwenye mshahara wake...
Mwaka 2021 Salah alikua tano bora kwa mauzo ya jezi duniani..
Mkataba wa Liverpool na Nike upo kimslahi sana kwamba kila jezi au merchandise inayouzwa chini ya Nike basi! Liverpool wanapata asilimia 30 au 20 ya mauzo hayo, malipo hayo ni nje ya zile £30m kila msimu Nike wanalipa ina maana kwa msimu Nike wanalipa £70m+ pale Liverpool. Mkataba ule ni based on incentives pia.
Salah anapata anachostahili japo kama mchezaji ana mapungufu yake lakini fursa ya kucheza Liverpool ameitumia vyema kujijenga ki soko na kampuni nyingi tu kama Pepsi, Oppo, Vodafone, Adidas nk zinamtumia kutangaza bidhaa zao.
Huku kupoteana kwa Salah Klopp amesema ni kwa kukosa utulivu wa wachezaji aliozoea pale mbele Firmino na Mane. Lakini pia sikutegmea Salah afunge sana wakati timu kila idara imechuja sana.
YNWA
View attachment 2500363
Huyu Arthur apone tu amuokoe Klopp maana ameishiwa maneno sasa kujitetea baada ya kila mechi ni kipigo.
YNWA



Wanaumiaje hawa wachezaji wetu jamani. Uwanjani wanatoka salama ghafla majeruhi.Kuna magendeheka ya kiingereza pale
Milner
Hende
Gomez
Jones
Ox
Yanajaza vyoo tu
At least sasa mkicheza na Everton tutaita Merseyside derby, mana uwiano utakuwepo.


Bana wee mzani umebalance eh??Alisikika bwege mmoja akibwabwaja…. After a brief stint ya mafanikioAt least sasa mkicheza na Everton tutaita Merseyside derby, mana uwiano utakuwepo.
Usishangae Milner akapewa mkataba mpya hivi hivi aisee...Kuna magendeheka ya kiingereza pale
Milner
Hende
Gomez
Jones
Ox
Yanajaza vyoo tu
Muda utasema hapa mchawi mmiliki mpya apatika mapema hii. Haya mengine yataji sort yenyewe.Kumbe Carvalho naye injury??
Wanaumiaje hawa wachezaji wetu jamani. Uwanjani wanatoka salama ghafla majeruhi.
Tunahitaji transformation ya hali ya juu
Owners
Transfer committee
Mambo haya yakiwa positive mengine yatafuata vizuri.
Imerudi ile Liverpool ya 15/16