Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Why are we losing?

Hivi hili la Trent Alexander Anord kua na assist moja EPL msimu huu nayo imekaa nje, nini kimemkuta huyu chief whip wa ma assist makali sana. Je tukiachana na uzee wa kikosi nalo hili halijachangia kikosi kukosa ukali wa magoli..

YNWA
Oh what a boy
Mara TAA ana assist nyingi kuliko wengine wote
Mwaka huu atazisikia redioni
 
Hii timu ni kama imekufa kabisa, hata kupiga chafya hakuna jamani. Au mnataka kuingia top 4 kwa imani?

On Deradline Day
  1. Man United - Marcel Sabitzer
  2. Chelsea - Enzo Fernandez
  3. Arsenal- Jorginho
  4. Liverpool- James Milner 5 year contract extension
 
Japo Salah sio Messi au Ronaldo(business wise) lakini kibiashara pale Liverpool yupo juu sana anauzika zaidi ya wachezaji wengine hivyo analeta mpunga wa maana kwa timu. Kwa mfano mauzo ya jezi tu Salah peke yake anachangia asilimia 35 ya mauzo yote hivyo ingekua ni uzembe kumwachia Salah kuodoka Liverpool regardless matokeo uwanjani yapo vipi kwa sasa.

Ukifuatilia kwa kina utagundua kwamba mikataba mingi ya wachezaji Liverpool ipo capped kwenye incentives zaidi hivyo inakua win win situation kwa Liverpool na kwa mchezaji husika.. Utakuta kwa mfano Salah kila jezi inayouzika ana asilimia kadhaa pale inayoingia kwenye mshahara wake...

Mwaka 2021 Salah alikua tano bora kwa mauzo ya jezi duniani..

Mkataba wa Liverpool na Nike upo kimslahi sana kwamba kila jezi au merchandise inayouzwa chini ya Nike basi! Liverpool wanapata asilimia 30 au 20 ya mauzo hayo, malipo hayo ni nje ya zile £30m kila msimu Nike wanalipa ina maana kwa msimu Nike wanalipa £70m+ pale Liverpool. Mkataba ule ni based on incentives pia.

Salah anapata anachostahili japo kama mchezaji ana mapungufu yake lakini fursa ya kucheza Liverpool ameitumia vyema kujijenga ki soko na kampuni nyingi tu kama Pepsi, Oppo, Vodafone, Adidas nk zinamtumia kutangaza bidhaa zao.

Huku kupoteana kwa Salah Klopp amesema ni kwa kukosa utulivu wa wachezaji aliozoea pale mbele Firmino na Mane. Lakini pia sikutegmea Salah afunge sana wakati timu kila idara imechuja sana.

YNWA
Basi kama lengo ni maslahi wanaolipwa kidogo watacheza kwa kidogo chao na wa kingi hivyo hivyo wala tusinune.

Hafu tuone kwa haya matokeo hiyo mikataba itabaki?
 
Bayern president Herbert Hainer 🗣️ - "I don't believe in UEFA market valuation, it's stupid. According to market valuation a guy called Declan Rice is more valuable than Joshua Kimmich. But I guess if Kimmich was English or played in the Premier League, he would be worth ten times more because in reality he is a ten times better player than Rice. I don't understand people talking about Premier League clubs being better than Bayern & Bundesliga. Check the record of English clubs against Bayern, we beat them easily everytime without putting much effort. Their league leaders this season are Arsenal from London, arguably the easiest opponents to play in Europe, they get destroyed by most teams in the Champions League. The only team in the Premier League worth talking is Liverpool or maybe Man United but United are history now." [ DAZN ] 🎙️📰
 
Chelsea the big Football Club (FC) and it doesn't matter what the current situations it is passing through hence every big FC has already been experienced in long term investment with what we call it "Transition period"
Screenshot_2023-02-01-06-34-53-45_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-02-01-06-35-19-23_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-02-01-06-35-33-88_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 
Aaron Arsenal hivi kwa huyu Jorginho mmeona nini maana namuona dogo kama Kieta aliechangamka

YNWA
Kocha Ndiye kampendekeza ,na alimuhitaji toka zaman
JoJo ni pass master na Arsenal ndio kafika penyewe


JORGINHO ni kipande muhimu kilichobakia (Missing piece of a puzzle) kwa Arteta

Siwezi kumfananisha kama Caicedo kwa sababu Caicedo ni powerful box-to-box midfield kwa Brighton. Lakini kwa Jorginho ni Press resistance na Tempo-setter ndani ya timu. Ni aina y wachezaji Arteta alikua anawahitaji Sio tu kuongeza nguvu kikosini bali pia Winning mentality na experience kwenye kikosi. Ukitaja jina la Jorginho msiishie kuishia jina Frelo bali ongezeni UEFA Champions League winner (2021), UEFA League of Nations winner (2019) na Ballon’Dr nominee mwaka 2019.

Jorginho Frelo ni kweli umpa eneo kubwa ku-defend atakufedhehesha (Large area to defend) lakini mazingira ya Arsenal kuzuia kama Unit ukizingatia uingiaji ndani wa Fullbacks kwenye midfield (Inverted full back) kama afanyavyo Zinchenko, Tierney na White means hatakua isolated kwenye #6.

Arsenal na Arteta hawahitaji mpiga Penalty tu, bali mchezaji ambae ni Ball Passer na mzuiaji mzuri timu inaposhambuliwa ukizingatia pass rate ya 87% kwa misimu minne yote akiwepo Chelsea. Tunamhitaji Jorginho wa Napoli zaidi kuliko huyu wa Chelsea na Arsenal ina mazingira hayo ya kumrudisha kwenye ubora.

Jorginho msimu huu ana tackles, interceptions na ball recoveries nyingi kuliko Partey na ukizingatia Chelsea hawako compact sana kama Arsenal. Arsenal ni tofauti kidogo. Muda mwingi wapo na umiliki wa mpira, imagine juu ya hapo imeongeza Build Up play monster. Ni hatari sana.
 
Deadline day deals:

Chelsea - Enzo Fernandez
Arsenal- Jorginho
Man United - Marcel Sabitzer
Tottenham - Pedro Porro
Liverpool- James Milner 2 year contract extension
Am really impressed na spidi ya Manchester United yaaani within 24 hrs kuumia kwa Erickson na kufahamika kua atapona April sasa wakatua mazima kwa Sabitzer.
Sisi Liverpool tunasubiri maajabu ya Arthur 😂😂😂usajili mpya.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom