Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tatizo la liverpool sio la wamiliki au klop, ila ni tatizo la mashabiki,
mashabiki wa liver pale england ni wabaguzi sana, michezaji ya kiingereza ikiharibu wala hawaishutumu, subiri aharibu mchezaji asie mwingereza!

lkn pia ni washabiki wasio na ambition kabisa, hutawasikia wakizomea wamiliki, wachezaji au kocha,...... inatakiwa siku moja klop azomewe mwanzo mwisho, kina henderson wazomewe kila wakikanyaga uwanjani, wamiliki na bodi wazomewe....alafu wamalizie kwa kugoma kwenda uwanjani, uone kama wiki mbili zitapita bila mabadiliko,

ila kwakua tuna mashabiki wa aina hii acha waendelee kubondwa, na mwakani tukose hata europa, twende conference huko ili watie adabu pumbafu kabisa
 
Imerudi ile Liverpool ya 15/16
Naona itakua mbaya kuliko 15/16.
Unajua bhana kitendo cha FSG kutotumia ile nafasi ya kuanzia 2017 mpaka 2021 wakati ma heavyweight yalipoteana kwa kweli watajutia sana maana tumekosa kuchukua ubingwa angalau mara 3 kwa kukosa kikosi kipana pale kati wakati sahihi... Wamiliki wenyewe sasa kuona wanavyokuja kwa kasi Arsenal na Manchester United wakaona ooh biashara hapa ni kuuza hakuna namna...

Bila mwarabu hapa tuna hali tete sanaaa tuedako.

YNWA
 
tatizo la liverpool sio la wamiliki au klop, ila ni tatizo la mashabiki,
mashabiki wa liver pale england ni wabaguzi sana, michezaji ya kiingereza ikiharibu wala hawaishutumu, subiri aharibu mchezaji asie mwingereza!

lkn pia ni washabiki wasio na ambition kabisa, hutawasikia wakizomea wamiliki, wachezaji au kocha,...... inatakiwa siku moja klop azomewe mwanzo mwisho, kina henderson wazomewe kila wakikanyaga uwanjani, wamiliki na bodi wazomewe....alafu wamalizie kwa kugoma kwenda uwanjani, uone kama wiki mbili zitapita bila mabadiliko,

ila kwakua tuna mashabiki wa aina hii acha waendelee kubondwa, na mwakani tukose hata europa, twende conference huko ili watie adabu pumbafu kabisa
Ebu zama Google search yaliyojiri mpaka Gillert na Hicks kuuza klabu 2010 utaelewa hawa mashabiki lakini pia FSG huonekana kama ni sent angels maana waliokoa klabu kuingia kwenye administration hivyo kumbe sio vile ni kwamba wenyewe waliona fursa ya biashara wakawekeza hawakukosea kwa sababu sasa inawalipa vizur sanaaaa.

Hii hali ikiedelea hivi msimu ujao mambo yatabadilika sana ndugu.

Mashabiki wa Tottenham nadhani mechi ya Manchester City walipasa sauti Daniel Levy aachie kazi huku wakisimama na Conte..

Liverpool mashabiki ni wavumilivu sana lakini hata huo uvumilivu una mwisho...

Kingine ukumbuke ma supremo wetu Gordon, Jonh na Werner hua nadra sana kuhudhuria mechi pale Anfield pengine mpaka sasa wangeshaanza kuzomewa.

Wamiliki wapya na wachezaji warejee kwenye kiwango ndio pona yetu.

YNWA
 
Ebu zama Google search yaliyojiri mpaka Gillert na Hicks kuuza klabu 2010 utaelewa hawa mashabiki lakini pia FSG huonekana kama ni sent angels maana waliokoa klabu kuingia kwenye administration hivyo kumbe sio vile ni kwamba wenyewe waliona fursa ya biashara wakawekeza hawakukosea kwa sababu sasa inawalipa vizur sanaaaa.

Hii hali ikiedelea hivi msimu ujao mambo yatabadilika sana ndugu.

Mashabiki wa Tottenham nadhani mechi ya Manchester City walipasa sauti Daniel Levy aachie kazi huku wakisimama na Conte..

Liverpool mashabiki ni wavumilivu sana lakini hata huo uvumilivu una mwisho...

Kingine ukumbuke ma supremo wetu Gordon, Jonh na Werner hua nadra sana kuhudhuria mechi pale Anfield pengine mpaka sasa wangeshaanza kuzomewa.

Wamiliki wapya na wachezaji warejee kwenye kiwango ndio pona yetu.

YNWA
Mkuu hii timu isipokuletea ugonjwa wa Moyo utakuwa na bahati sana kwa kifupi itakumalizaaaaaaaa.
 
| Ibrahima Konate is out for a fortnight through a hamstring injury against Brighton. [@DominicKing_DM]


Nauona msimu wa 2020/2021 ukijirudia but this time around there will be no Miracle.

Philips naona akianza kupata nafasi ya kucheza

YNWA
 
Mkuu hii timu isipokuletea ugonjwa wa Moyo utakuwa na bahati sana kwa kifupi itakumalizaaaaaaaa.
😂😂😂😂😂😂Mie na Baba Swalehe love this team haha... Kufa wala kuumwo hakuna ila cha moto tunakiona...
We have been through worse bro this is just peanut...

Am much cool najua ni upepo tu.

YNWA
 
| Ibrahima Konate is out for a fortnight through a hamstring injury against Brighton. [@DominicKing_DM]


Nauona msimu wa 2020/2021 ukijirudia but this time around there will be no Miracle.

Philips naona akianza kupata nafasi ya kucheza

YNWA
Top four Bado ipo
 
Wooow
Screenshot_20230131_181924.jpg

Crazy Transfer i didn't see this coming.

Life in football is damm weird..

Gossip inasemekana dogo walipashana haswa na Pep mazoezini kiasi hakukua na namna zaidi ya dogo kusepa zake Bayern... Kila la kheri dogo ni jembe haswa..

YNWA
 
Why are we losing?

Hivi hili la Trent Alexander Anord kua na assist moja EPL msimu huu nayo imekaa nje, nini kimemkuta huyu chief whip wa ma assist makali sana. Je tukiachana na uzee wa kikosi nalo hili halijachangia kikosi kukosa ukali wa magoli..

YNWA
 
Chelsea tunaendelea tu kusumbua ulimwengu kwa kufuru za usajili.

Kimombo tuwaachie Arse8 ambao wanatamba na harakati za kunyanyua ubingwa wa EPL 2022 - 2023.

Liverkuku Fans ni mwendo wa kisandawe kuchambua karanga badala ya kuchambua mpira kwa kimombo chao kileeee.

Kweli kutesa kwa zamu na kila kitabu na zama zake
Screenshot_2023-01-31-19-33-00-10_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-20-34_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2023-01-31-19-33-47-46_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom