Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Lini tunaanza kumjadili Gakpo
Au tusubiri klop ambadilishe
Au tusubiri klop ambadilishe


Huyu ni jembeLini tunaanza kumjadili Gakpo
Au tusubiri klop ambadilishe![]()



klopp akili yake haitulii kuhusu Jude.



Miaka 5 ijayo hizi league zingine zisipobadilika katika kupata mapato zaidi, hazitoweza pigania mchezaj na team yoyote ya premier labda mchezaj mwenyewe atake.
Release wakasake ugali kwingine, we need new identity if FSG or new owner can back KloppReds, five players have expiring contracts at the end of the season:
Roberto Firmino
Naby Keita
Alex Oxlade-Chamberlain
James Milner
Adrian
What would you do with each of them?
• Matheus Nunes
• Mason Mount
• Federico Chiesa
• Enzo Fernandez
Thoughts, Reds?
Kila timu ya EPL itapata mgao wa pesa za TV £79million kwa miaka mitatu kuanzia 2022 mpaka 2025 na pia kila timu inapewa £5.6millionMiaka 5 ijayo hizi league zingine zisipobadilika katika kupata mapato zaidi, hazitoweza pigania mchezaj na team yoyote ya premier labda mchezaj mwenyewe atake.
Premier league wako katika league yao
Unatafuta ugomvi na kina Flano
😂😂😂😂😂 Wakagobane uwanjani huo ubingwa waupate watupishe...... Angalau ETG kaonyesha njia kwamba kujituma zaidi na mazoezini ndio njia pekee ya kurudisha makali...Unatafuta ugomvi na kina Flano
Now that Juventus has been thrown hukoooo there is a chance for Chiesa kwa mauzo tofauti na zamani kwa ofa ya 40m Klopp can get his man...Reds, five players have expiring contracts at the end of the season:
Roberto Firmino
Naby Keita
Alex Oxlade-Chamberlain
James Milner
Adrian
What would you do with each of them?
• Matheus Nunes
• Mason Mount
• Federico Chiesa
• Enzo Fernandez
Thoughts, Reds?
Team kama Bournmouth licha ya kuwa na wamiliki wapya leo hii wanashindania mchezaj na bingwa wa ItalyKila timu ya EPL itapata mgao wa pesa za TV £79million kwa miaka mitatu kuanzia 2022 mpaka 2025 na pia kila timu inapewa £5.6million
Kwa mfano Liverpool msimu uliopita tulimaliza nafasi ya 2 EPL hivyo mgao wa pesa za TV ilikua kama ifuatavyo kwa Liverpool
Equal share: £79m
Facility fees: £27.3m
Merit payment: £50.4m
Commercial revenue: £5.6m
Total: £162.3m
Kwa kua Liverpool ni moja ya timu ambayo mechi zake zinaonyeshwa kwa wingi nje ya Uingereza utaona utofauti wao na Manchester City bingwa ni tofauti ndogo sana around 2m ya kipato cha Tv Rights
Kadri timu inavyomaliza nafasi za juu ndio na mgao unaongezeka zaidi, kingine ni kadri timu inavyopata kuonyesha mechi nyingi zaidi ina maana na mgao unakua zaidi
Kwa Europe sioni wakiwakamata EpL kwa kupata ma pesanya maan.
YNWA
