Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwaka mmoja tuu umepita tangu
Tucheze fainali ya carabao
Fainali ya fa
Points 90+ epl
Miezi 8 tangu tucheze final champions league


Ina maana ndani ya mwaka tuu hii squad ndio imezeeka ghafla hivo?

Tatizo sio umri, labda fatique na tactics
Mkuu pamoja na matatizo mengine lakini na umri huo unachangia wametumika sana bila kua na benchi la kueleweka.

YNWA
 
EXCLUSIVE BREAKING NEWS: Qatar’s full acquisition of Liverpool Football Club is ‘99% done’.
We have been told that fans ‘will not have to worry’ about the transfer budget this summer, and that the new ownership are ‘desperate’ to bring in ‘footballing superstars’. #LFC https://t.co/UH9w1HMjL0
Mpaka majira ya joto kwa sasa tabu bado ipo pale pale
 
Mwaka mmoja tuu umepita tangu
Tucheze fainali ya carabao
Fainali ya fa
Points 90+ epl
Miezi 8 tangu tucheze final champions league


Ina maana ndani ya mwaka tuu hii squad ndio imezeeka ghafla hivo?

Tatizo sio umri, labda fatique na tactics
Hakuna changamoto kwenye namba, ufalme umetawala, Benchi tupu hakuna mtu wa kumchalenge Alison, VVD, Salah, na wengineo. Sajili wachezaji kama City au sisi tunavyofanya ili kuua kiburi.
Si unaoa yale matakata ya Chelsea yameanza kucheza vizuri baada ya kuona tajiri anasajili kama hana akili
 
Isije kuwa Arsenal imewafanya Chelsea waingie mkenge
Screenshot_20230116-151119.jpg
 
Hakuna changamoto kwenye namba, ufalme umetawala, Benchi tupu hakuna mtu wa kumchalenge Alison, VVD, Salah, na wengineo. Sajili wachezaji kama City au sisi tunavyofanya ili kuua kiburi.
Si unaoa yale matakata ya Chelsea yameanza kucheza vizuri baada ya kuona tajiri anasajili kama hana akili
Klopp hana kifua ku benchi fully fit Salah, Henderson, VVD, Milner yaaani utamuona akihangaika na Fabinho, Robertson nk

Hii timu jamani.

YNWA
 
Klopp on signings: “We look outside — it's not that we think we will just be with these boys until 2050. It's always about what we can do” #LFC

“If solutions for us were outside and doable… of course we would bring in players to help — but we have an existing squad as well”.
 
Jurgen Klopp, is a very good human-being, a down-hearted person, kwa mtu yeyote yule ambaye ameishi naye, amefanya kazi naye au amekutana nae, am 100% sure ukimuuliza kuhusu Klopp, hatakuwa na jambo BAYA lolote lile kusema/kuongea kuhusu Klopp, thats how good of a human-being he is.

Its not bad, being a good person ni kitu kizuri sana, but weakness kubwa ya Klopp ni kushindwa kutenganisha his personality, as a normal person & as a football manager.


As a person, hata kwenye majukumu yetu ya kila siku, ili kuweza kufikia malengo yako na kuweza kuya-maintain, unahitaji kuwa a very sharp & good decision maker na zaidi unatakiwa kuwa ruthless katika kuondoa na kudhibiti vizingiti au changamoto ambazo zinaweza kukuzuia kutimiza au ku-maintain aina ya mafanikio unayohitaji.

As a club (LIVERPOOL FC), tumebahatika sana kuwa na coach kama Jurgen Klopp, personally i'd never ask for any other manager in the world, but again i've been asking myself a lot of questions lately, and as fans tunahitaji kuwa honest with ourselves, kwa kile kinachopitia LFC kwasasa, FSG wanabeba a lot of blame but you CANT EXCUSE KLOPP, hatakiwi kukwepa LAWAMA kabisa.

Our manager ana attachment issues, na hii yote inatokana na his good hearted & emotional personality, its no secret kuwa if it was up to him, wachezaji kama Emre Can, Coutinho, Gini, Takumi, Origi, Shaqiri, Mane etc, bado wangekuwepo at LFC, wachezaji wote hawa kwa namna moja ama nyingine waliamua kuondoka wenyewe, Takumi, Shaqiri, Origi wanted more game time, Emre & Coutinho wanted OUT, Mane had a better offer at Bayern, FSG refused to match it, Klopp had to choose between him & Salah, same kwa Gini, FSG refused to give him a 3 year-deal, and when FSG & Edwards wanted to do the same kwa Hendo, Klopp had to intervene, hakuwa tayari kuwapoteza both Gini & Hendo, wakati in reality ilikuwa ni muda muafaka wa kutowapa new contracts, because team ilikuwa inahitaji ku-evolve.

BUT, Klopp's emotional attachment got the best of him, and madhara yake tunayaona sasa, when it came down kwenye suala la ku-make sharp decision making & kuwa ruthless, his emotions couldnt allow it, he felt itakuwa so unfair kwa wachezaji wake, he felt kuwa atakuwa hatendi HAKI kwa kuwaondoa na ku-freshen kikosi, he felt sorry for them, he felt kuwa atakuwa kama amewasaliti baada ya kuwa nao pamoja kwenye CL & PL winning years, na KUSAHAU kuwa they were paid MILLIONS ku-deliver hizo trophies, it wasnt a CHARITY GAME, ilikuwa ni KAZI, ilikuwa ni WAJIBU wao ku-deliver, THUS rafiki yake, partner wake na mtu ambaye alishirikiana naye kuijenga LFC kuanzia chini (MICHAEL EDWARDS) alivyoona umefika muda wa kufanya MAAMUZI MAGUMU ya kukarabati kikosi, KLOPP akakosana nae, because he got too emational, na mpaka Edwards akaamua ku-resign, tukaishia kupoteza one of our biggest ASSETS, kwasababu ya emotions, why Edwards abakie wakati Klopp bado anataka kubaki na kina Henderson, Milner, Ox, Adrian, Keita etc kwenye team?

Kama Henderson asingepewa ule mkataba, mwaka huu 2023 ndiyo angekuwa anaondoka LFC, but instead tupo naye sana at the club na hamna chochote anacho-offer now, he's physically finished, Edwards, Graham (data guru) waliona hili, na ndiyo maana wakawa wanahitaji viungo wengine, but Klopp decided to keep him, with a BIG contract, matokeo ya ule mkataba tunayaona now.

Klopp wanted to give Keita a new contract, wanted to give Ox a new contract, Keita's camp rejected the offer because alitakiwa kukubali a pay cut, same kwa Ox, but in reality, these are players ambao hawakutakiwa kuwepo at LFC leo hii, i like KEITA a lot, na kila siku nitaumia kwa jinsi career yake ilivyoenda at the club, but hakutakiwa kuwepo at the club msimu huu.

Curtis Jones anafanya nini at LFC?, Nat Phillips anafanya nini at LFC? Milner, Henderson, Keita, Ox, Adrian wanafanya nini at LFC?

Henderson, Milner, Curtis, Keita, Ox, Arthur hao ni 6 MFs, jumlisha Thiago, Fabinho & Harvey, jumla tunakuwa na 9 MFs, but at what cost? 9 MFs na 90% ya MFs ni MIZIGO.

Lets say, Keita can be useful as he's better than those other 5 stooges, but he's getting benched for Henderson, for apparent no reason, Keita can provide more than Henderson now, but we are throwing games away because of emotional attachments.


Its 17th january na bado hakuna dalili ya kununua MF, Klopp bado anaamini his stooges can bail him out, we are getting humiliated week in, week out, because of our crap MF, but Klopp still thinks Henderson can win games for him, this is emotional blindness, World Class Coach hatakiwi kuwa hivi.

Kwenye kila presser huwa anasema transfer window siyo solution, then whats the solution? Curtis Jones? Arthur Melo? whats the solution? sticking with 433? whats the SOLUTION?


Again, a serious coach with a winning mentality, angekuwa active kwenye market now, anahangaika kutafuta 2 MFs, kama Caicedo ni too pricey (Bloom wants 75m), move on Khepren, Kone, Ugarte, Le Fee etc are out there for good and affordable prices, its not the end of the world kama tutamkosa Caicedo, just get a new blood in, our MF is dead.

This is LFC, you cant throw a season away like that, you just cant, tuna-stuggle na Thiago on the pitch, imagine akiwa hayupo? na Klopp is playing him kila game, its just a matter of time kabla haja-breakdown, we need a young MF.

Sentimental blocks zinahitaji ku-stop, we need to be ruthless, Klopp needs to be ruthless, or we will get LEFT behind, AGAIN, and this time itakuwa ngumu sana kurudi at the top, because kama utani tu, Newcastle United wame-join the CHAIN.
 
I said on here, kuhusu Lijnders influence kwenye team, na yote hii ni emotional. attchment ya Klopp, he thinks kila binadamu ana moyo kama wa kwake, its absurd.

You think, Lijnders angekuwa ndiyo main coach at LFC, na Klopp kama msaidizi, unadhani Lijnders angeruhusu Klopp kupata limelight kama anayopata yeye? NO.

BUT, Mr. Good heart, thinks Lijnders deseeves the world because kashinda nae trophies, Klopp now anapishana kimawazao na Kina Ward kwasababu ya Lijnders.

Cody Gakpo ni signing ya LIJNDERS, few months ago Lijnders was quoted akisema kuwa Gakpo was a missing piece at LFC, man, i will never bash Gakpo and i will back him forever at LFC, na naamini atakuwa na good story at the club, but you think Ward wanted to sign Gakpo over a midfielder? you think we needed an attack this window kwa nguvu zote kuliko kiungo? lets say Diaz & Jota are out so we needed an attacker, but msimu huu wote tatizo la LFC lilikuwa ni goals? NO, we needed a MF, we needed a runner, second ball winner, transition master, counter presser etc, we needed a midfielder, not an attacker.

We need to control games, Salah & Nunez and even Bobby, wana good goal returns, we needed to stop the leaks and gaps kwenye MF..

Lijnders ideas are NOT working, am not buying stories za kuwa tunacheza na formation ya Lijnders, hii ni 433 ya Klopp, kilichobadilika ni kuwa hatuna legs kwenye MF.


Edwards left, Ward is leaving, Klopp has more power than ever, so him and Lijnders wameamua ku-sign a Winger, not bad at 40m that was a good deal, but what about KIUNGO? au tunataka yatokee kama aliyosema. Miguel Delaney leo? kuwa the whole football world laughed at Ward kwa kumsajili Arthur Melo? Ward was given a 24 hours notice to find a cheal midfielder on LOAN, what did you expect? the same Ward who spent the whole summer presenting Klopp with good MF, but alikuwa anawakataa (yeye na Lijnders), and now its so obvious kuwa Boehly ata-move for Caicedo, and the kid wont refuse, so whats next? a lot of options out there, but can we pull them off? OR ITS GAKPO AND BUST?
 
Game ya Brighton, nilikuwa nacheka sana, Klopp akipotezaga network, anapoteza mazima

He was playing Thiago as a 10, wanted Thiago to press from high-up the pitch, and occupy McAllister ball receiving phases/channels, it backfired massively.


Playing a world class tempo-setter as a 10 was so laugable, trying to match Brighton press was more laughable.


I like Klopp, mad bastard, hahahaha.
 
The embargo has been LIFTED, Paul Joyce reporting that We want Belligham & Nunes in the summer.

Well, now i can steal some news but dont KILL THE MESSENGER, strong tetesi ni kuwa a deal for nunes for the summer is. pretty much agreed, the fee ni £44m.

YES, you're wondering, right? this is the same player that Klopp rejected in the summer, one of Ward findings, Wolves bought him for £38m, so sisi tutaongeza £44m.

Strong tetesi ni kuwa his agent Jorge Mendes inserted a clause kwenye mkataba wa Nunes kama if LFC wakirudi in the summer, then Wolves hawatakuwa na jinsi, and its funny because Ward anaondoka, wakati tunajua kuwa ana good relationship na Jorge Mendes, ingekuwa ni easy sana ku-attract players wa Mendes, but anyways we have got Nunes.

But again, deal ya Nunes ina-highlight matatizo ya LFC behind the scenes, Klopp kuwa na power kubwa ni TATIZO, let people wenye taaluma husika wafanye kazi yao.

Deal ya Nunes na Wolves, ni kama Haaland na City, kwenye Contract ya Haaland kuna clause ya Madrid kama wakiamua ku-trigger the exit-clause, sasa Boss Klopp kaamua ku-trigger exit-clause ya Nunes, madai yake kuwa Nunes hakuwa ready in the summer. (laughable), alikuwa tu na maumivu tu ya kumkosa Tchouameni, again tatizo la emotional personality, it took him months kukubali kuwa kamkosa Tchouameni.


Ishu ya Bellingham ikienda kushoto, anaweza akafa.


Anyways, leo tupo na Wolves kweye FA Cup, kama Nunes akianza, watch him closely.


But, we need another MF, NOW.
 
Arsenal doing a Leicester au 2013/14 LFC.

City are in a bad patch now, so Arsenal cant afford to slip up NOW, atleast mpaka April, Pep will want to keep a 2 points gap kwasasa, ana 2 home games kabla game ya Arsenal Vs United on sunday, Arsenal wanatakiwa waombee City a-draw/kupoteza kwa spurs or Wolves, kama City akishinda his 2 games (Thursday & Sunday), then itakuwa ni chess move ya Pep, but no-matter matokeo ya aina yeyote ya City, Arsenal will need to beat United, because kama United wakishinda at Palace, na wakishinda at Emirate, watakuwa firm kwenye TITLE RACE, then naingalia Newcastle pia, wanaweza kuleta ugumu, but all in all, Arsenal wanatakiwa kuombea City a-slip zaidi, because they can afford a Title race na United.

Then Pep will target 2 games alizonazo na Arsenal, he will play for a draw at the Emirates, and go for a win at the Etihad, this is how he used to beat us kwenye title race.

So if, City win their next 2 games, na Arsenal wakipoteza/Draw na United, Pep atakuwa amefanikiwa, but kwa bad patch ya City now, i can see them waki-draw game moja, spurs or Wolves.


Arsenal needs a winger and a CM, this january.
 
Klopp trying to be tough on this FA presser embargo.


HAHAHAHAHAHAHA


Thats more LIKE it.


TIME TO BE RUTHLESS.


TIME TO CHANGE THINGS.
 
By the way, the ever reliable. Sam Wallace, saying FSG are expecting a bid for the sale of the club next month.


This leak is intentional, because FSG watajuaje kuwa Interested parties wata-bid next month?

ni kwamba Bid ishakuwa submitted, next month kutakuwa na official formalities za kuanza mchatako mzima wa take-over, it takes time.

Strong rumours ni kuwa new buyers wanataka kukamilisha mchakato kabla ya pre-season.

so, you can see why leaks zimeanza kutoka kwenye medias.

Kwenye monday's FA Cup presser, Klopp aliulizwa kuhusu kama amshapata wasaha wa kuongea na FSG kuhusu potential new interested buyers, akajibu YES.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom