Klopp kawauza wamiliki kasema £45m ndio ilikua bajeti pekee dirisha hivyo klabu haina ela ya kuingia sokoni tena yaaani hata Klopp kasema bila ku pepesa maneno pesa haipo




Yaaaaani tuna wamiliki wa ajabu sana. Yaaani pesa yote ya bajeti imekwenda kwa Cody sasa cha kujiuliza huyu Cody mbona hatumhitaji dirisha hili na wamemnunua wa nini kama pesa ilikua ni hio tu. Bure kabisa maamuzi ya ajabu kwa kua ela haipo hii ingewekezwa MF na sio pale mbele.
Hali iko wazi kwa sasa hatuna majeruhi MF wote ni wazima kabisa lakini mkuu umeona jana Klopp katoa kituko mfumo ulifeli 4 3 1 2 yaaani Thiago acheze 10 ilikua worst gamble jana..
Kwa kweli waadamane tu labda watatoa angalau pesa anunuliwe mchezaji mmoja box to box.
Suluhisho ni hii timu iuzwe tu hakuna namna... Natazama namna uongozi wa Chelsea wanavyompa sapoti amateur coach Potter sokoni huku wakiwa hata kombe la kahawa hawakashinda lakini haijawazuia kuingia sokoni kujenga kikosi tena ununuzi wa kimkakati wakitazama umri.. Liverpool we so doomed tuna pound for pound manager lakini wamiliki wameshindwa kabisa kumtumia vyema kuzoa makombe mengi kwa proper backing anavyohitaji Klopp.
#FSGOut
YNWA