Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Si unaona sasa masimango ya juzi yamemfanya leo afanye finishing nzuriView attachment 2472521
The beauty of the game.
Art of perfection from the assist to the finish.
YNWA
Si unaona sasa masimango ya juzi yamemfanya leo afanye finishing nzuriView attachment 2472521
The beauty of the game.
Art of perfection from the assist to the finish.
YNWA
Luis Suarez: 9 goals in first 23 Liverpool games
Sadio Mane: 9 goals in first 23 Liverpool games
Darwin Nunez : 10 goals in first 23 Liverpool games
He'll only get better #LFC



😂 😂 😂 If Klopp says ni Yeye basi ni yeye tu hakuna namna... Klopp ana jicho la vipaji na akisema Nunez ni generation talent basi ifahamike hivyo hivyo na namba za magoli kama usemavyo za dogo zinaonekama kusapoti kauli ya Klopp.. Ni yeye tu.Luis Suarez: 9 goals in first 23 Liverpool games
Sadio Mane: 9 goals in first 23 Liverpool games
Darwin Nunez : 10 goals in first 23 Liverpool games
He'll only get better #LFC
Captain Marvelous bado watu hawana Imani a Nunez![]()
Endeleeni tu na mapambio,kikundi chake cha kusifu.Luis Suarez: 9 goals in first 23 Liverpool games
Sadio Mane: 9 goals in first 23 Liverpool games
Darwin Nunez : 10 goals in first 23 Liverpool games
He'll only get better #LFC
Captain Marvelous bado watu hawana Imani a Nunez![]()
😂Hivi wewe una angalia Ligi ipi.Aise hiii timu munateseka sana adi nawaonea uruma. Mutaweza kumaliza top foo kweli nyie matakataka 😅😅😅
Wakati mwingine malalamiko yako kuhusu Nunez huwa Yana akili sanaaaa nimewaza jambo hapaEndeleeni tu na mapambio,kikundi chake cha kusifu.
😂 😂 😂 Klopp hio MF ikiguswa hua anatamani kukimbia media kama Mourinho aisee...Klopp on Liverpool's midfield issues:
"It's all about the balance, not just one midfielder. The way we want to defend is clear. It works out most of the time but not always. That's why everyone knows Alisson is one of the best goalkeepers in the world." #lfc [lfc]
Klopp on Liverpool's midfield issues:
"It's a general problem, not a midfield problem. Defending starts upfront - if you don't defend there, then the midfield has no chance. The pitch is too big and the other teams are too good. But we've know that for a long time." #lfc [lfc]
😂😂😂😂😂😂Huyu Miss Liverpool ni wakala wa Mane awe na utulivu sasa ni wakati wa Nunez kimsingi dogo ingekua hapati hizo nafasi, hasumbui kutengenezea wengine, hapigi mashuti, hana mishe za vurugu pale mbele ningekua wa kwanza kusema tumepigwa ela hapa lakini kwa hii hii disjointed Liverpool anatupia kdhaa sasa jiulize siku ile flow ikirejea klabuni huyu mwamba atakua moto sana.. Amekuja Liverpool wakati kiwango chetu kimeshuka sana hivyo lawama zingine hazina mashiko..Wakati mwingine malalamiko yako kuhusu Nunez huwa Yana akili sanaaaa nimewaza jambo hapa
Zama za kina Suarez tulikuwa ni middle table team
Zama za Mane tulikuwa tunajenga timu
Huyu Nunez inatakiwa awe anatupia migoli kama Haaland. Captain Marvelous inawezekana lawama za Saint Anne zina mashiko 😅😅😅😅
View attachment 2472521
The beauty of the game.
Art of perfection from the assist to the finish.
YNWA
Lakini Captain Marvelous nadhani Kinacho itajika ni consistency ya kufunga na kushinda na Sio kushinda tu kushinda Kwa magoli mengi Sio ushindi wa 0-1 1-2 ama 3-2 huu ushindi kwasasa hauhitajiki kinacho itajika ni 3-0 kosa kosa 3-1 Ama 4-1 au 4-0 Ndio Marengo na Ndio maana ukiangalia vizuri KLOPP kwasasa ana hitaji magoal zaidi sio kununua Viungo kama team Inge kua Ina funga Hizi kelele za kununua viungo zisinge kuwepo Kwenye msimu 2022/23 wachezaji wame kosa magoli mengi zaidi ni wachezaj wa Liverpool missing 15 Kwa 16 sijui kama sija kosea zote hizo ni magoal wame kosa na kuna wakat walikosa na ikawa sababu ya kupoteza match na tuka fungwa😂😂😂😂😂😂Huyu Miss Liverpool ni wakala wa Mane awe na utulivu sasa ni wakati wa Nunez kimsingi dogo ingekua hapati hizo nafasi, hasumbui kutengenezea wengine, hapigi mashuti, hana mishe za vurugu pale mbele ningekua wa kwanza kusema tumepigwa ela hapa lakini kwa hii hii disjointed Liverpool anatupia kdhaa sasa jiulize siku ile flow ikirejea klabuni huyu mwamba atakua moto sana.. Amekuja Liverpool wakati kiwango chetu kimeshuka sana hivyo lawama zingine hazina mashiko..
Prime LIVERPOOL operating kwenye ile level tuliozoea mbona Saint Anne atasema nilikia nataniaga tu wala sikuumaanisha chochote kuhusu Nunez 😂😂😂
Ni suala la Muda. Nunez acheze kati tu sio kazi yake jama jana kwenda kusaka mipira huko pembeni yaaani atulie centa uone balaa.
YNWA
Nunez wakati mwingine hapa alikosa eti hivi katika zile nafasi 15 alizo miss angepata hata nafasi 10 angekuwa na magoli mangapi mpaka sasa? Klopp keshasema tatizo sio Kiungo ila ni timu nzima.Mimi sijawahi kumtilia shaka Nunez pamoja na mapungufu yake lakini nimekuwa nasema huyu kuna siku tutamtungia nyimbo sababu kipaji unakiona na tukumbuka ana miaka 23 ana safari ya kujifunza na kitu kizuri anajaribu tu haogopi na jana kafunga good goal. Kuna mengi yatakuja kutoka kwake ila kwa Mo nadhani tabia ya kukaa sana na mpira shida sana jana kuna nafasi kama mbili angeachia mpira haraka kwa Gapko labda angefunga. Klop lazima amuweke sawa ni team sio mchezaji mmoja mmoja.
Mkuu kushinda mechi ni collective team work..Lakini Captain Marvelous nadhani Kinacho itajika ni consistency ya kufunga na kushinda na Sio kushinda tu kushinda Kwa magoli mengi Sio ushindi wa 0-1 1-2 ama 3-2 huu ushindi kwasasa hauhitajiki kinacho itajika ni 3-0 kosa kosa 3-1 Ama 4-1 au 4-0 Ndio Marengo na Ndio maana ukiangalia vizuri KLOPP kwasasa ana hitaji magoal zaidi sio kununua Viungo kama team Inge kua Ina funga Hizi kelele za kununua viungo zisinge kuwepo Kwenye msimu 2022/23 wachezaji wame kosa magoli mengi zaidi ni wachezaj wa Liverpool missing 15 Kwa 16 sijui kama sija kosea zote hizo ni magoal wame kosa na kuna wakat walikosa na ikawa sababu ya kupoteza match na tuka fungwa
Ni suala la muda tu ndugu soon, she bow down n say salute Kop Nunez 😂😂😂😂Yes kabisaa halafu bado Miss Liverpool saint anamuona Nunez ni galasa chuki ni mbaya kama upofu vile 😂😂😂
Haya mambo ya Salah yalikua yanamtia sana hasira Mane na kuna wakati mpaka unajiuliza hivi Klopp haya mambo hua anayakemea ama anayaacha hivi hivi maana yanajirudia mara kwa mara...Mimi sijawahi kumtilia shaka Nunez pamoja na mapungufu yake lakini nimekuwa nasema huyu kuna siku tutamtungia nyimbo sababu kipaji unakiona na tukumbuka ana miaka 23 ana safari ya kujifunza na kitu kizuri anajaribu tu haogopi na jana kafunga good goal. Kuna mengi yatakuja kutoka kwake ila kwa Mo nadhani tabia ya kukaa sana na mpira shida sana jana kuna nafasi kama mbili angeachia mpira haraka kwa Gapko labda angefunga. Klop lazima amuweke sawa ni team sio mchezaji mmoja mmoja.