Brand Rogers lazima akafoke Yani hili timu walijisahau sana asa ngoja waende championship HukuSec half anatolewa,kwanza namuonea huruma huko changing room sjui atazodolowaje maana
Pumbavu zake Faes, amebeti liver anashinda goli 3, hivyo kipindi cha pili liver wasipofunga atamalizia mwenyewe hilo goli halafu ataondoka uwanjani na mpira wake baada ya kupiga hatrick.Huyu foes ana shda gan???
Pumbavu zake Faes, amebeti liver anashinda goli 3, hivyo kipindi cha pili liver wasipofunga atamalizia mwenyewe hilo goli halafu ataondoka uwanjani na mpira wake baada ya kupiga hatrick.


nmecheka sanaKama NtibazonkizaPumbavu zake Faes, amebeti liver anashinda goli 3, hivyo kipindi cha pili liver wasipofunga atamalizia mwenyewe hilo goli halafu ataondoka uwanjani na mpira wake baada ya kupiga hatrick.
Yaani hilo li Faes linamshinda ujinga hadi Magwaya.nmecheka sana
Akirudi anakuja malizia la 3 aondoke na mpira wakeWout faes MOTM wa vijogoo![]()
Usikute role modo wakeYaani hilo li Faes linamshinda ujinga hadi Magwaya.
Akanyoe zile nywele labda ataanza ona vizuri nyavu zao ni zipiYaani hilo li Faes linamshinda ujinga hadi Magwaya.
Hana baya mtt wa watuAkirudi anakuja malizia la 3 aondoke na mpira wake

😀😀😀😀Akanyoe zile nywele labda ataanza ona vizuri nyavu zao ni zipi
Kabisa ni ngumu sana kununua hawa wachezaji wote mwaka 2023 kwa pamoja hilo hata wakija wamiliki wapya ni ngumu sana...If tunampata Enzo sidhan kama tutaenda kwa Jude tena, probably tutaenda kwa Koudao Kone au mid mwingine ambae price yake sio kubwa.
Aafu unasoma eti Keita akikumbali kuongoza mkataba sasa Klopp anabadili ngia angani usajili wa MF😂😂😂unajiuliza je hivi ni Kieta huyu huyu ama kuna mwingine.27 ya passport
Uyo jamaa wakuchoma moto kabisaMwamba Faes karudi itafuta hat-trick yake.